Rasmi kila jumamosi hiki ndio kitakuwa kinafanyika Dar es salaam
Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli, tangu iingie madarakani moja ya ajenda ambayo imekuwa ikisisitizwa ni kuweka mazingira safi ambapo, Rais Magufuli mwenyewe aliongoza kampeni…
Furaha ya ushindi wa Yanga haijaishia Taifa tu, leo April 30 wameiadhibu Toto Africans Mwanza
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea leo April 30 2016 kwa michezo mitano kupigwa katika viwanja mbalimbali Tanzania, klabu ya Yanga ilikuwa uwanja wa CCM Kirumba Mwanza kucheza mchezo wake…
VIDEO: Kilivyohappen kwenye Pool Party 2016
Usiku wa April 29 2016 watu wangu waliozaliwa March na April walikutana kipande cha Regency park hotel mikocheni Dar es salaam Kwenye Pool Party. Usiku huo ulipambwa na wasanii kutoka kwenye…
PICHA 11: Jengo la ghorofa sita limeporomoka Nairobi na kusababisha vifo
Nairobi Nchini Kenya mvua zinazoendelea kunyesha wiki hii zimesababisha vifo ambapo mpaka sasa imeripotiwa watu 15 kufariki na kati ya hao 7 wamefariki baada ya jengo la ghorofa sita kuporomoka usiku…
Zisome pamoja hapa Habari zote kubwa kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania April 30 2016
Kama kuna stori kubwa hujaipata leo kutoka kwennye magazeti ya Tanzania, unaweza kupitia hapa mtu wangu, huwa nazisogeza Twitter kwenye account ya @millardayo kila siku, za leo kubwa hizi hapa. #MWANANCHI Ripoti ya CAG…
VIDEO: Sentensi za Profesa Tibaijuka kuhusu Rais Magufuli kuanzisha Mahakama za Mafisadi
April 29 2016 Mbunge wa Muleba Kusini na aliyewahi kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka amefanya Exclussive Interview na AYO TV na kuzungumzia hatua…
Wananchi walivyotekeleza agizo la Mkuu wa Mkoa Dar es salaam, Paul Makonda…(+Picha)
April 30, 2016 ni headlines za usafi kila sehemu ambapo leo wananchi wa jiji la Dar es salaam, viongozi mbalimbali na wasanii wameungana kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na salama… camera ya…
Vichwa 10 vya Habari kubwa kwenye TV za Tanzania April 30 206
Kama utakua ni mpenzi wa kutazama taarifa ya habari na haukupata time ya kutazama taarifa ya Habari ya April 30 2016 kupitia TV za Tanzania usijali millardayo.com inakupatia fursa ya kuzitazama vichwa…
Mengine yalioandikwa kuhusu Jose Mourinho na Man United
Bado headlines za kocha wa sasa wa Man United Louis van Gaal kutimuliwa na ndani ya Man United na nafasi yake kuchukuliwa na kocha wa zamani wa Chelsea Jose Mourinho…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 30 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
April 30 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…