GSM Foundation wamegharamia kila kitu na kuzungusha madaktari bingwa Tanzania kutoa tiba hii bure
Kuna watu tu wana mioyo ya kusaidia wengine na wameamua kufanya kwa vitendo, sasa baada ya kufanikiwa kuhudumia watoto zaidi ya 125 wenye vichwa vikubwa na migongo wazi huku watoto 55…
‘Wasiotaka kazi kwasababu ya mishahara midogo waache kazi’ Rais Magufuli (+Pichaz)
Mei 1 2016 Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi (MEI MOSI) yamefanyika kitaifa mkoani Dodoma na mgeni rasmi alikuwa Rais John Pombe Magufuli, Chama cha Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) kilipata nafasi ya…
Haya ndio matokeo ya Simba vs Azam FC yaliofanya mashabiki wa Yanga watabasamu
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea leo Mei 1 2016 kwa mchezo kati ya Simba dhidi ya Azam FC kuchezwa katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam, huu ni mchezo…
Memphis Depay anaondoka Man United? maamuzi yake haya yanawashangaza wengi
Winga mshambuliaji wa klabu ya Man United ya Uingereza Memphis Depay jina lake limeingia kwenye headlines tena, baada ya kufanya kitendo ambacho huenda kikawa na maana ya kuashiria yeye kuondoka…
Nimekusogezea Habari 10 kubwa kutoka kwenye Magazeti ya leo Mei Mosi 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa…
Picha17: Harmonize na Ruby, walivyoukamilisha usiku wa April 30 na Burudani Geita…
Usiku wa April 30, 2016 watu wangu wa Geita nao wameukamilisha mwenzi kwa kutazama burudani ya nguvu kutoka kwa mastaa wawili kutokea WCB Harmonize na nyumba ya vipaji THT Ruby…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo May 1 2016 kwenye, Hardnews na michezo
May 1 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Arsenal Vs Norwich City leo April 30 2016 na matokeo ya mechi nyingine za EPL
Kwa watu wangu mashabiki wa soka la Ligi Kuu Uingereza, leo April 30 2016 imechezwa michezo 6 ya Ligi hiyo, huenda hukupata nafasi ya kuona michezo hiyo, ambapo mchezo kati…
VIDEO: Usikutwe umetupa taka Dar es salaam kuna vijana wamepewa kazi
April 30 2016 viongozi mbalimbali, wasanii na wananchi walifanya usafi maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam na baadae kufanya matembezi kutoka maeneo ya Ilala, Temeke na Kinondoni na…
VIDEO: Mnaopenda kuvuta Sheesha kuna hili tangazo la Serikali
April 30 2016 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama amekutana na waandishi wa habari Dodoma ili kutoa elimu kwa umma juu ya madhara ya dawa za kulevya…