TBT: Picha za utoto za mastaa wa soka Ngassa, Reyes, Kroos na Deco
Alhamisi ya October 13 2016 kabla ya siku haijaisha mtu wangu naomba nikusogezee TBT picha za mastaa wa soka, leo naomba nikusogezee picha za utoto za staa wa mkongwe wa FC…
Baada ya wiki 8 imeripotiwa Drake na Rihanna wameachana tena
Hii kwa watu wangu wapenzi wa updates za mastaa wa nchi za nje nikiwazungumzia mastaa kama Beyonce, Rihanna, Jay z na wengine wengi kuhusiana na maisha yao kiujumla hata nja…
Ya leo kwenye ile kesi ya waliofungua account feki kusaidia maafa Kagera
Reporter wa AyoTV na millardayo.com Kagera ameripoti kutoka Mahakama ya hakimu mkazi Bukoba akisema kesi ya waliofungua akaunti feki ya kusaidia waliopatwa na maafa ya tetemeko la ardhi Kagera imeahirishwa leo.…
Staa wa Chelsea kafiwa na mama yake mzazi
Winga wa kimataifa wa Brazil anayeichezea klabu ya Chelsea ya England Willian amepata pigo baada ya kupokea taarifa za kumpoteza mama yake mzazi Maria Jose, Willian amepokea taarifa za kumpoteza…
VIDEO: Diamond, RC Makonda, TSN na GSM walivyoguswa na kijana aliyetobolewa macho
Baada ya siku kadhaa tangu kutolewa kwa majibu ya madaktari juu ya uchunguzi wa Macho ya kijana Said maaarufu kama Baba D ambaye alipata mkasa wa kushambuliwa na mtu anayefahamika…
Mambo manne usiyoyajua kuhusu wimbo wa Pana kutoka kwa Tekno
October 13, 2016 Mtu wangu wa nguvu nakusogezea hii huenda ulikua haufahamu kuhusu namna mdundo wa msanii Tekno Milles "Pana ulivyopatikana. Ukitaka kuzitaja ngoma kali sana zinazoongoza kwa kubang kwenye…
Aliyepigwa na Walimu Mbeya aeleza kwanini hakwenda Hospitali
Jina lake ni Sebastian Chinguku mwanafunzi wa shule ya sekondari Mbeya Day kidato cha tatu ambae video yake ya kupigwa fimbo mateke na makofi na Walimu ilisambaa sana kwenye mitandao…
VIDEO: Kama bado hujaitazama video mpya ya Tiwa Savage na Mjamaica Busy Signal
Kwako unaefatilia muziki wa Afrika, kwako unaependa kujua matokeo ya pale mastaa wawili wakubwa wa muziki kutoka kwenye nchi mbili tofauti wanapokutana inakuaje, hapa ni Tiwa Savage wa Nigeria na…
Wachina wakamatwa Mtwara, wakutwa wakibadili Expire date kwenye dawa
Watu watano wakiwemo raia wawili wa China na Watanzania watatu wamekamatwa Mtwara kwa kutuhumiwa kubadili tarehe zilizokwisha muda wa matumizi kwenye dawa za kilimo (expire date) ili dawa hizo ziingizwe…
Meneja wa Alikiba ajibu tuhuma za show ya Mombasa na za kutunishiana na Wizkid
Aidan Charlie ambaye ni meneja msaidizi kutoka kwenye Menejimenti ya mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba ameongea kuhusu tuhuma mbalimbali zilizotolewa dhidi ya Alikiba kutokana na show ya Mombasa iliyofanyika weekend…