VIDEO: Mgawanyo wa Bilioni 151 za Wizara ya Mambo ya Nje ulivyosomwa bungeni leo
May 31 2016 Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kikanda na Kimataifa kupitia kwa Waziri wake Augustine Mahiga imeomba kutengewa jumla ya Shilingi 151,396,775,000.00 kama bajeti yake…
AudioMPYA:Time ya kuenjoy hii single ‘HAPO’ kutoka kwa G Nako, Quick Rocka na Jux…
Usiku wa May 28 2016 ndio siku rasmi ambayo wasanii wa Bongfleva G Nako, Quick Rocka na Jux waliamua kufanya uzinduzi wa video ya ngoma yao waliofanya pamoja ‘Hapo’ uzinduzi…
VIDEO: Watanzania waliofungwa mataifa mengine waongezeka, Waziri kataja idadi na nchi zenyewe
Kumekuwa na headlines mbalimbali kuhusu matukio ya kiuharifu yanayokuwa yakijitokeza ndani na nje ya Tanzania, ishu ya uuzaji na utumiaji wa dawa za kulevya umekuwa ikisibabisha vijana wengi pia maisha…
Lionel Messi na baba yake wamefikishwa tena Mahakamani leo May 31 2016
Mchezaji wa kimataifa wa Argentina anayeichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania Lionel Messi na baba yake mzazi Jorge Messi wanatuhumiwa kwa kosa la ukwepaji kodi na leo May 31…
PICHA 7:Jackline Wolper mpaka nyumbani kwa wazazi wa Harmonize…..
Miongoni mwa stori zinazochukua headlines kwa sasa ni kuhusiana Mwigizaji Jackline Wolper yuko mapenzini na mwimbaji wa bongofleva Harmonize ambaye anatokea label ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platnumz, sasa headlines bado…
LHRC waguswa na kilichowapata Zitto na wenzake
Mei 30 2016 Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge iliwatia hatiani wabunge saba kwa makosa mbalimbali ikiwemo kudharau madaraka ya bunge ambapo wabunge Easther Bulaya na Tundu Lissu…
VIDEO: Mgomo wa Wanachuo UDSM May 31 na alichoongea makamu mkuu wa chuo
Ni Mei 31, 2016 ambapo Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wameingia kwenye headlines za kufanya mgomo wa kudai fedha za kujikimu katika matumizi yao ya kila siku,…
#VIDEO: Kwa mara ya kwanza Vanessa Mdee kaongea kuhusu beef na Shilole
Baada ya kuwepo kwa taarifa zilizokuwa zimeenea wiki mbili zilizopita kuwa Vanessa Mdee na Shilole wana beef, ukweli umejulikana, OnAIRwithMillardAyo imempata Vanessa amezungumzia beef hiyo'....... >>>'Shilole alikuwa ameongea kwamba ni mrembo…
PICHA 12: kutoka kwenye Utoaji tuzo za Rais kwa wazalishaji bora viwandani 2015
May 31 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli alialikwa katika hafla ya utoaji tuzo za Rais kwa wazalishaji Bora wa Viwandani kwa mwaka 2015 leo Jijini…
PICHA 6:Kutoka kwenye Mgomo wa Wanafunzi Chuo Kikuu cha UDSM…
Ni Mei 31, 2016 ambapo Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wameingia kwenye headlines za kufanya mgomo wakishinikiza bodi ya mikopo iwape fedha za kujikimu. Hizi ni baadhi…