VIDEO: Cheka kidogo na huyu Mbunge anayejiita ‘Bwege’ na hivi vituko vyake Bungeni
Bado headlines za Bunge zinaendelea kutufikiakila kukicha, na May 17 2016 Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano iliwasilisha hotuba yake ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 Kazi…
Instagram: Muonekano mpya wa msanii Juma Jux
Kama wewe utakuwa mpenzi wa kufuatilia style za wasanii kuanzia mavazi mpaka Life style zao basi hii isikupite mtu wangu May 19 2016 msanii kutoka kiwanda cha bongoflevani Juma Jux…
Moja ya habari kubwa kati ya 10 kwenye magazeti May 19 2016, Magari ya washawasha kugeuzwa ya zimamoto
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa…
Kama uko Dar kazi ni kwako…. ni wewe tu kuwasogelea Vodacom wakupe 4G
Wateja wa Vodacom Tanzania wameendelea kubadilisha kadi zao za simu katika maduka ya kampuni hiyo Dar es Salaam ili kufurahia mtandao wenye kasi ya 4G ambapo Vodacom Tanzania ilizindua kampeni hiyo…
Ndege ya Egypt imepoteza mawasiliano ikiwa na abiria kutokea Paris Ufaransa
EgyptAir Flight 804 imepoteza mawasiliano ikiwa angani kutokea Paris Ufaransa kwenda Cairo Misri ambako ilitakiwa kutua saa kadhaa zilizopita kwa mujibu wa CNN lakini ikapoteza mawasiliano ikiwa tayari imeingia kwenye…
VIDEO: Alikiba kafika South Africa.. mambo yake 7 mapya kutangazwa kwenye dili jipya
Mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba amefika nchini Afrika Kusini ambako amekuja kutia saini kwenye dili zake saba mpya ambazo zitamchukua yeye na bongofleva kwenye hatua nyingine kubwa ya kimataifa, dili…
ExclusiveVIDEO: Mbunge Agness Marwa akisema na walioisambaza CV yake mitandaoni
Alianza kuongelewa kwenye mitandao ya kijamii Tanzania baada ya video yake kusambaa akichangia bungeni kwenye bunge la bajeti Dodoma na kusema haoni sababu ya bunge kurushwa live lakini apia kauli…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 19, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
May 19 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
PICHA 10: Alikiba yupo Johannesburg South Africa… hivi ni vitu unatakiwa kujua
Mwimbaji staa wa Bongofleva AliKiba yuko Johannesburg South Africa kutia wino kwenye dili zake jipya ambazo zitaishuhudia bongofleva ikikaa kwenye headlines nyingine 2016. Kuna mambo mapya saba makubwa ambayo yatatangazwa ndani ya saa 48 kuanzia…
PICHAZ & VIDEO: Liverpool walivyokubali kuliachia Kombe la Europa League liende Hispania
Usiku wa May 18 2016 ndio siku ambayo klabu ya Liverpool ilicheza mchezo wa fainali ya Kombe la UEFA EUROPA League dhidi ya klabu ya Sevilla kutoka Hispania, mchezo wa…