Video ya goli la mechi ya Simba vs Toto Africans April 17 2016, Full Time 0-1
April 17 2016 klabu ya Simba iliwakaribisha klabu ya Toto Africans ya Mwanza katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam kucheza mchezo wao 25 wa Ligi Kuu Tanzania bara, katika…
Bado mambo sio mazuri FC Barcelona wamekubali kipigo tena leo April 17 2016 (+Video)
April 17 2016 Ligi Kuu Hispania iliendelea kama kawaida kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali, mchezo kati ya FC Barcelona dhidi ya Valencia ndio ulikuwa wa kuvutia zaidi kwani…
VideoMPYA: Mad Ice anatualika kuitazama video yake mpya ‘Delilah’
Ni miongoni mwa waimbaji waishio nje ya Tanzania na bado wana mashabiki wengi kwenye nchi ya Tanzania... Mad Ice anayo video nyingine mpya ya kutuonyesha... ukishamaliza kuitazama sio mbaya ukimuachia na…
RC Makonda katangaza kuwaondoa Wakurugenzi..(+Video)
April 17 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alikutana na waandishi wa habari na kuzungumzia baadhi ya changamoto zinazoendelea katika jiji lake ikiwa ni pamoja na…
Baada ya ushindi wa mechi zaidi ya 6 mfululizo, April 17 Simba imepokea kipigo dhidi ya Toto Africans
Baada ya klabu ya Simba kukaa kileleni kwa muda kwa kuwazidi michezo watani zao wa jadi Dar es Salaam Young Africans, April 16 Yanga walirejea kileleni baada ya kumaliza michezo…
Vitu 4 vilivyoongelewa na Mwigulu Nchemba na Ummy Mwalimu baada ya kufika machinjio ya Vingunguti Dar.
April 17 2016 Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji Mwigulu Nchemba aliongozana na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu mpaka kwenye machinjio ya Vingunguti Dar baada ya machinjio hayo kufungiwa na…
Ajali aliyoipata Msanii Tunda Man Iringa April 17,Haya ni maelezo ya mwanzo(+Picha&Audio)..
Kama ni mtumiaji wa mitandao ya kijamii utakua umekutana na taarifa inayomhusisha Tunda Man kupata ajali akiwa Mkoani iringa Asubuhi ya April 17 millardayo.com imempata Tunda Man mwenyewe na amekubali…
Picha 16 za Mbunge Professor Jay na watu wake wa Mikumi kata ya Ruaha April 16 2016
April 16, 2016 Mbunge wa jimbo la Mikumi mkoani Morogoro, Mh. Joseph Haule aka Professor Jay alifanya mkutano wa kuwashukuru Wananchi wake wa kata ya Ruaha kwa kumchagua kuwa mbunge lakini pia…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 17 2016 kwenye, Hardnews na michezo
April 17 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
Picha13: Harmonize alivyotoa Burudani ya nguvu kwa watu wa Mwanza kwa mara ya kwanza
Usiku wa April 16, 2016, watu wangu wa Mwanza kwa mara ya kwanza kwenye stage Harmonize alikutana na watu wake kwenye shangwe na zile hits zake za Bado, Aiyola na…