Licha ya kuwa na wakati mgumu, Chelsea wameanza kusherehekea Christmas kwa style hii (+Pichaz)
Licha ya kuwa katika wakati mgumu katika michezo ya Ligi Kuu Uingereza, klabu ya Chelsea imeanza kusherehekea sikukuu ya Christmas kwa style hii, mastaa wa klabu ya Chelsea waliamua kuanza kusherehekea Christmas,…
Saa 48 alizozitoa Waziri wa Magufuli kwa Wauza ‘Unga’…(+Pichaz)
Waziri wa mambo ya ndani Charles Kitwanga amefanya ziara ya ghafla leo Dec 16 2015 katika makambi mbalimbali ya Jeshi la Polisi Dar es salaam na kutoa amri kwa viongozi wa jeshi…
Wasanii kulipwa nyimbo zinapopigwa Redioni/TV? stori iko hapa….. (+Audio)
Stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa Nikki wa pili akifunguka kuhusiana kupitishwa kwa sheria inayohusu wasanii kulipwa nyimbo zinapochezwa katika TV na Redioni. Akiongea na ripota wa millardayo.com alisema'Leo…
Ni kweli wachezaji wa Man United hawamtaki Louis van Gaal? David de Gea kajibu hapa …
Headlines za wachezaji wa Man United kuhusishwa kutomtaka kocha Louis van Gaal aendelee kukitumikia kikosi hiko zinazidi kuchukua nafasi kila siku, kuna wakati Louis van Gaal alisema ni kweli ataondoka…
Imenifikia TOP 5 ya wachezaji soka wenye majina marefu zaidi duniani …
Najua mtu wangu imekuwa ni kawaida kusikia majina ya wachezaji pindi wanapotangazwa kupitia Television au Radio wakati mpira ukichezwa, wengi huwa tunatambua majina ya kawaida na mafupi kutokana na namna…
Coco Beach ikauzwa, barabara mbovu Kinondoni, moto wa Rais Magufuli umemfikia Mkurugenzi Dec 15
Ukikaa karibu na vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kumekuwa na ripoti mpya kila wakati na kadri zinavyonifikia na mimi nahakikisha hupitwi hata kidogo. Kama unakumbuka December 03 2015,…
Saa 48 zilizotangazwa na waziri mpya wa kilimo Tanzania …
Ikiwa bado siku moja zitimie siku saba toka Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli atangaze baraza la Mawaziri, tayari mawaziri waliotangazwa tumeona wakichapa kazi na…
ON STAGE After School Bash: Tazama walichokifanya Navy Kenzo, Jux, Baraka, Young D, Mirror, Ruby na wengine
Ni kutoka kwenye After Skul Bash December 12 2015 Escape One Mikocheni Dar es salaam ambapo mastaa kibao wa muziki Tanzania walitokezea kwenye stage wakiwemo Navy Kenzo, Jux, Ruby, Baraka…
Exclusive Interview: Berry Black hajasikika kitambo, haya ndio mapya kutoka kwake…(+Video)
Ni muda sasa tangu kusikika kwa headlines za wasanii Berry Black & Berry White ambao walikuwa wakijulikana kama '2 Berry' mara baada ya kuachia hit song ya 'Na wewe tu'…
Baada ya kudhibitiwa na Mgambo Dec 12, Yanga yafanikiwa kuondoka na point 3 dhidi ya African Sports
Jumatano ya December 16 Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la Mkwakwani Tanga. Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara klabu ya Dar Es…