Mabibi na Mabwana ile collabo ya Sauti Sol na Micasa ndio hii imetoka…(Audio)
Kundi la Sauti Sol kutoka Kenya linazidi kufanya vizuri kwenye industry ya burudani ..wamerudi tena kwenye headlines za burudani baada ya kuachia single yao mpya inaitwa ‘Tulale Fofofo' waliyoshirikiana na…
Video inayomuonyesha Rais Magufuli na alichokutana nacho Muhimbili Hosp. baada ya ziara ya kushtukiza.
Kila kitu utakiona ukibonyeza play hapa chini kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=rEOzCCbXaHA&feature=youtu.be Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda…
Maneno ya Rais Magufuli alipofanya ziara yake leo katika hospitali ya Muhimbili..(Audio)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli , leo mchana amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kukutana na hali ya…
Kipindupindu bado kipo Dar?…Ninayo Ripoti kutoka wilaya ya Temeke…(Audio)
Baada ya ugonjwa wa Kipindupindu kuchukua Headlines katika maeneo mbalimbali nchini, halmashauri ya Temeke imekuja na mbinu mpya ya kukabiliana na ugonjwa huo ambapo imeanzisha oparesheni maalumu ya kukagua nyumba…
Ivo Mapunda amejiunga na Azam FC? hizi ni sentensi za majibu yake…
Golikipa mkongwe Tanzania aliyewahi kuvichezea vilabu vya Dar Es Salaam Young African na Simba Ivo Mapunda amethibitisha kuwa na mpango wa kujiunga na moja kati ya klabu zilizokuwa zinamnyatia kwa…
Ben Pol kayazungumza haya kuhusu kukutana na wasanii wa Africa akiwemo Patoranking…(Audio)
Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Africa akiwemo Khuli Chana na Patoranking. Staa huyo ambaye amekwenda katika maandalizi ya video zake mbili alisema..'Niko…
Video: Kilichomkasirisha Rais Magufuli November 9 mpaka akafikia haya maamuzi.
Taarifa ya chote kilichotokea mchana wa November 9 2015 na kumkasirisha Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dr. Magufuli kinaelezwa hapa chini na katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue, bonyeza…
Louis van Gaal hajaridhishwa na kasi ya mawinga wa Man United, hawa ni nyota watano anaotajwa kuwasajili …
Presha ya mechi za Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016 imefanya vilabu kadhaa kuanza kuingia katika mipango ya kufanya usajili wa wachezaji licha ya kuwa dirisha dogo la usajili bado…
Vijue baadhi ya vitu ambavyo mastaa wangependa kuwa navyo, ndani yupo Wizkid na wengine!
Naamini kuna watu wangu ambao wanatamani wapate walau dakika tano kuchill na mastaa kadhaa wanaowakubali, kuwauliza maswali tofauti kuanzia maisha, biashara, muziki ama sanaa yoyote ile wanayoifanya... lakini umeshawahi kukaa…
Zifahamu tabia sita za wachezaji wa Kibrazil ambazo karibia wote huwa wanazo …
Brazil ni nchi ambayo kila mpenda soka anaifahamu kwa kutoa vipaji vingi katika soka, katika mfumo wa uzalishaji wachezaji Brazil ni tofauti kidogo na nchi za Ulaya, asilimia kubwa ya…