Hatma ya Jose Mourinho Chelsea imeingia katika headlines ya magazeti ya Uingereza October 26
Bado mashabiki na wapenzi wa soka duniani kote wanajadili juu ya mwenendo wa klabu ya Chelsea kama Bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Uingereza. Chelsea ambayo inafundishwa na Jose Mourinho kwa…
Pongezi kutoka kwa Swizz Beatz, Ne-Yo na Davido baada ya Daimond kushinda MTV EMA 2015
Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwa mtu wetu Diamond Platnumz baada ya kushinda tuzo nyingine ya kimataifa ambayo ameipata kwenye MTV EMA 2015 jijini Milan Italy. Ushindi wa tuzo ya MTV kwa…
Hekaheka zilizoibuka kwenye Uchaguzi, wengine ndoa zimeishia hukohuko.. (Audio)
Hekaheka October 26 2015 imegusa yaliyojiri kwenye Vituo vya kupigia Kura... moja ilitokea Zanzibar jana ambapo mke na mume walipishana, mume anataka chama kingine mke naye anataka chama kingine.. Mwisho…
Izzo B na Nikki wa pili baada ya kupiga kura zao uchaguzi 2015 (+Audio)
Ni mastaa wawili Nikki wa pili na Izzo Bizness kutoka kwenye muziki wa bongofleva ambapo kila mmoja amezungumza yake kuhusu uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 ambapo Nikki ndio alikua wa kwanza kuzungumza.…
Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu 2015 ndio haya.. Mtwara na Kusini Unguja.
Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 yameanza kutangazwa ambapo matokeo ya kwanza yametangazwa na Mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi Jaji Damian Lubuva saa nne na…
Hizi ni sentensi 5 za Diamond Platnumz baada ya ushindi wa tuzo ya MTV EMA 2015.
Msanii wa Bongo Flava kutoka Tanzania, Diamond Platnumz bado anaendelea kuziandika headlines kwenye kurasa za burudani nchini na Africa kwa ujumla. Baada ya kuipeperusha bendera ya Tanzania kwenye usiku wa…
Kama ulimiss sentensi za January Makamba kuhusu mchakato wa upigaji kura ulioanza Octobe 25… (Audio)
Baada ya Tanzania kuingia katika Historia kubwa jana October 25 2015 ambapo watu wote walioandikishwa na kuthibitishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC wanaendelea kupiga Kura katika maeneo mbalimbali.…
Hii ndio orodha kamili ya washindi wote wa tuzo za MTV EMA 2015, zilizofanyika Milan, Italy!
Ukiacha mbali headlines za Kisiasa nchini, kwenye ulimwengu wa burudani tarehe 25 October ilikuwa siku muhimu kwa mamilioni ya mashabiki wa muziki duniani kwani tuzo za MTV EMA 2015 zilikuwa…
NEC na matokeo ya Ubunge, TCRA yatoa onyo, Rais kutangazwa Alhamisi, Rais JK kustaafu November?! (Stori &Audio).
Good Morning mtu wangu, leo ni tarehe 26 October 2015 na kama kawaida lazima asubuhi ianze na uchambuzi wa stori zote magazetini @CloudsFM. Kazi yangu ni kuhakikisha kubwa zote za…
Magazeti ya Tanzania leo October 26, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatatu Octoba 26, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…