Hizi ni dalili za David de Gea kuongeza mkataba Manchester United? wakala na familia yake waongeza uvumi…
Joges Mendes ni wakala wa wachezaji soka lakini ndiye mtu anayetajwa kuwa na nguvu kubwa katika mpira wa miguu, hususani katika masuala ya uhamisho wa wachezaji kutoka timu moja kwenda…
Neyo kaimba kiswahili kwenye single mpya ya Diamond?, majibu yako hapa
Siku zote nitahakikisha nakusogezea kila stori inayonifikia na hapa stori ninayotaka kukupatia ni hii kutoka kwa mtayarishaji Sheddy Clever ambaye alizichukua headline hivi karibuni baada ya kutayarisha single mpya ya…
Nimekusogezea pichaz 26 za Mkutano wa Ukawa Dodoma Kibaigwa 10 sept
Toka tarehe 29 August ulipofanyika uzinduzi wa kampeni Ukawa bado wameendelea kusogea sehem mbali mbali za kuwafikia wananchi na leo Sept 10 Mkoani Dodoma katika wilaya ya Kongwa mji mdogo…
Mengine kuhusu Louis van Gaal na wachezaji wa Man United…
Kocha wa Manchester United Louis van Gaal alijiunga na klabu ya Man United toka mwaka 2014 akichukua mikoba ya David Moyes aliyetimuliwa kazi. Imeripotiwa kuwa Van Gaal sio kocha rafiki na…
Baada ya ushujaa wa kuokoa watu 170 kwenye Ndege iliyowaka moto, Rubani kaamua haya..
Stori kubwa kutoka Las Vegas Marekani September 09 2015 ilikuwa ishu ya Ndege ya British Airways kuanza kuwaka moto katika Uwanja wa Ndege wakati ikiwa na abiria 159 ndani pamoja…
Shabiki alienda kwenye show ya Meek Mill na bango la Drake… Kilichofuata!? (Video).
Siku chache zilizopita Meek Mill aliweka headlines Brooklyn Marekani baada ya kumshambulia shabiki aliyekuwa ameshika bango la Drake kwenye tamasha la Fool's Gold Day Off Festival tamasha ambalo Meek Mill…
Real Madrid wako tayari kumuuza Cristiano Ronaldo kwenda PSG, ila…
Klabu ya Real Madrid ya Hispania ni klabu ambayo inasifika kwa kupenda kununua wachezaji kwa gharama ya juu maadam iwe inamuhitaji basi itatoa fedha ili kukamilisha usajili wake. Headlines ambayo ipo…
Idadi ya wanaoutaka Urais FIFA yaongezeka…Huyu mwingine katangaza nia!!
Uchaguzi wa Rais wa Shirikisho la soka duniani umepangwa kufanyika Februari mwakani na tayari kuna baadhi ya wanamichezo wamejitokeza kuwania naasi hiyo. Wengine ni Rais wa shirikiso la soka barani Ulaya…
Paul Kagame anarudi Madarakani mwaka 2017? Hii hapa kutoka Mahakamani Rwanda..
Mahakama Kuu Rwanda imepokea Shauri kutoka Vyama vya Upinzani Rwanda ambavyo vinahitaji Rais Paul Kagame asigombee Urais kwa awamu nyingine tena baada ya kumaliza awamu mbili za kuiongoza Nchi hiyo.…
Hizi ni sababu za viongozi wa Tottenham Hotspur kumkataza mchezaji huyu kununua gari lenye rangi nyekundu…
Klabu ya Tottenham Hotspur ambayo makao makuu yake ni jiji la London imemzuia winga wa kimataifa wa Korea Kusini Son Heung-Min kununua gari lenye rangi nyekundu. Spurs ambao wanajiandaa na mchezo wa…