Mama na mtoto wake wamefariki baada ya kuumwa tumbo, ni kipindupindu? #Hekaheka (+Audio)
Kama ilivyo kawaida ya Hehaheka imekuwa ikituweka karibu na matukio ambayo yanatokea kwenye maisha ya watu ya kila siku, leo inahusu tukio la mama na mtoto wake kukutwa ndani wakiwa wamefariki…
Picha 11 nje ya Mahakama baada ya Mwimbaji wa Gospel Emmanuel Mbasha kushinda kesi ya kubaka…
September 21 2015 moja ya stori kubwa iliyogusa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania ni ishu ya Hukumu ya kesi ya Mwimbaji wa Gospel Tanzania, Emmanuel Mbasha ambapo alikuwa anakabiliwa na…
Pichaz za utupu zilivyowafikisha mtu na mpenzi wake Mahakamani japo walijipiga wenyewe..
Sheria ya Makosa ya Mitandaoni imeanza kazi rasmi September 01 2015 Tanzania na tayari kuna stori za watu kukamatwa kwa Makosa mbalimbali kutokana na Makosa ambayo yameainishwa katika Sheria hiyo.…
Mixtape ya Future & Drake imekupita? ‘What A Time To Be Alive’ imenifikia!
Ni siku tatu tu zimepita toka Drake awape mashabiki wake news kwamba Future na yeye wanaachia Mixtape pamoja... Na tarehe 20 September Drake aliandika kwenye page yake ya Instagram muda na saa…
Mtoto wa Beckham amelikataa soka? Haya ndio maneno yaliyomuumiza baba yake
David Robert Joseph Beckham ni staa wa Soka ambaye kastaafu Soka na kuacha Rekodi kubwa na nzuri zinazoheshimika Duniani, yako maneno kwamba maji hufuata mkondo, mtoto wa Beckham na Soka…
Mabasi 138 DART, dunia na mgogoro wa uhamiaji, Volcano kulipuka Arusha? Hukumu ya Mbasha leo… (Audio).
Kama kawaida Jumatatu ya kila wiki huanza na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM, pengine ulikuwa mbali na radio yako na habari za magazeti zimekupita, ninazo hapa chini baadhi ya stori zilizosikika…
Ni Jumatatu Sept 21 2015 mtu wangu, stori kwenye kurasa za #Magazeti 22 ya Tanzania hizi hapa..
Jumatatu September 21 2015 stori baada ya stori zimegusa headlines Magazetini mtu wangu. Jumla ya Magazeti 22 yamenifikia leo, nimekusogezea yote hapa kurasa zake za mbele na za nyuma hakuna…
Baada ya siku 40: sura ya mtoto wa Diamond na Zari ndio hii imeonyeshwa kwenye picha !
Zimeshatimia siku 40 toka mtoto wa Diamond Platnumz na Zarinah Hassan azaliwe, anaitwa Tiffah.... ambapo siku hii kubwa ilikumbukwa na nyumbani kwa Diamond watu mbalimbali wakaalikwa kama ilivyo kwenye utaratibu.…
Ethiopia wameanza rasmi kutumia Treni za abiria zinazotumia umeme.
Nimepita kwenye page ya Facebook ya BBC Swahili nikakutana na hii stori ambayo nimeguswa kuishare hata hapa millardayo.com kuhusu nchi ya Ethiopia kuzindua Treni za umeme. Ripoti inasema Treni hizi…
Picha 20 za nyumba zilizomdatisha Millard Ayo Sept. 21 ! wenzetu wanavyopangilia
Ni segment ambayo itakua na maisha marefu kwenye millardayo.com manake kila siku watu wanafikiria kujenga au kurekebisha nyumba zao na hii inasaidia kukusafishia Idea yako kwenye kila unachokitaka au bora…