Familia ilivyofanya Ndege kuwa nyumba ya kuishi na wako poa kabisa yani !! Pichaz hizi hapa..
Taylor Weidman ni Mwandishi wa Habari ambaye ameishi Thailand kwa kama miaka miwili hivi, amekatisha mitaa ya Jiji la Bangkok, Thailand. Maeneo mengi ya Miji mikubwa kama Dar es Salaam wakati…
Wachina walivyopewa dakika moja kushindana kupigana mabusu, pozi baada ya pozi.. (Pichaz & Video)
Kuna mashindano mengine ni vichekesho tu, pata picha mnashindana kupigana mabusu na mshindi anaahidiwa pesa ya nguvu kabisa eti !! Shindano limefanyika May 01 2015 katika Jimbo la Yunnan, China... mtu…
Unamkumbuka Rivaldo wa FC Barcelona? Kafanyiwa upasuaji taarifa ipo hapa… (+Picha)
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya FC Barcelona ya Hispania na timu ya taifa ya Brazil Rivaldo bado dunia ya soka ina mkumbuka kwa umahiri wake uwanjani lakini amewahi kutwaa tuzo…
Mtoto aliyekamatwa na saa wakidhani ni bomu harudi tena Shule? Boss wa Facebook nae kaandika haya..
Stori bado inagusa kwenye vichwa vya habari Duniani, September 16 nilikusogezea stori ya Ahmed Mohamed mtoto mwenye umri wa miaka 14 ambaye alikamatwa Shuleni na kupelekwa Polisi baada ya kukutwa…
Hadi kufikia September 2013 hizi ni hoteli 10 zinazotajwa kuwa na muonekano usio wa kawaida (+Pichaz)
September 19 nakusogezea karibu yako muonekano usio wa kawaida wa hizi hotel zilizopo katika miji mbalimbali duniani, huenda uliwahi kutembelea nchi kadhaa lakini hukubahatika kuona uzuri na upekee wa majengo…
Baada ya zawadi ya cake, mke wa 2 Face aliandika haya siku ya birthday ya mumewe..
Huenda katika Sherehe ambazo staa wa Nigeria 2 Face Idibia amewahi kuzifanya hii ambayo ilifanyika jana September 18 2015 ilikuwa imekaa poa zaidi !! Moja ya vitu vilivyovutia ni cake…
Kitu kipya cha mkali mwenyewe Belle 9 hiki hapa mtu wangu, ‘Shauri Zao’ (Video)
Belle 9 ni staa wa Bongo Fleva, ni moja ya majina ya mastaa wachache ambao hata kama hawajatoa ngoma mpya au midundo yao haisikiki On Air, bado jina lake kwenye…
Magazeti ya Tanzania Septemba 19, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumamosi Septemba 19, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko…
Umeme ndio basi tena Tanzania? gesi iliyosubiriwa imeanza kufanya kazi?
Good news ninayotaka kukusogezea nii kutoka Tanesco ambapo Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene September 18 2015 aliongea mbele ya Waandishi wa habari kuhusu mradi wa bomba la gesi na…
Maamuzi ya UKAWA baada ya chama pinzani kukiuka taratibu za kisheria….
Ni headlines za Uchaguzi mwaka 2015 ambapo leo Sept 18, Mwanasheria wa CHADEMA ambaye ni mkuu wa idara ya Uchaguzi kwenye sheria,Bw.John Mallya alifanya mkutano wa kuzungumza na waandishi wa…