Mourinho na Wenger hawapatani? angalia alivyoirusha medali yake baada ya kufungwa 1-0 (Video)
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amekubali kipigo cha goli 1-0 dhidi ya klabu ya Arsenal mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Wembley Uingereza, Mourinho aliingia uwanjani akiwa na rekodi nzuri dhidi…
Simba yaendeleza usajili kimya kimya kwa kumsajili mshambuliaji huyu kutoka Kongo
Tukiwa tunaelekea kuanza kwa Ligi Kuu soka Tanzania bara vilabu kadhaa vimezidi kujizatiti kwa kusajili wachezaji wenye viwango vya juu. Klabu ya soka ya Simba ambayo bado ipo katika hali…
Ilikuwa ni Chelsea VS Arsenal kwenye ngao ya hisani, matokeo yalikupita?
Pazia la ligi kuu ya England limefunguliwa leo rasmi kwa mchezo wa kugombea taji la ngao ya hisani ya FA, mechi ambayo inawakutanisha washindi wa kombe la Barclays Premier League…
Ni Mwana FA na AY miaka 13 iliyopita kwenye hii hit yao kali kabisa mtu wangu…. (Video)
Ambwene Yessaya aka 'AY' pamoja na Hamis Corleone Mwinjuma aka 'Mwana FA' ni washkaji ambao wamekuwa pamoja kwa muda mrefu sana... Walikuwa pamoja kwenye Crew ya East Coast Team na baadae…
Hongera kwa Azam FC, kwa matokeo haya wao ndio Mabingwa #KagameCup2015…
Michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na kati Kagame Cup 2015 imemalizika August 2 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kwa kupigwa michezo miwili wa mshindi wa tatu na mchezo…
Nimeyapata matokeo ya Uchaguzi wa Wagombea Ubunge wa CCM Jimbo la January Makamba Bumbuli
Headlines za sasa nyingi zimeelekea kwenye siasa ambapo Tanzania mwezi October 2015 itakua ni muda wa Watanzania wote kuwapigia kura wagombea ambao wanaona wanafaa. Yamenifikia matokeo ya uchaguzi wa Wabunge kupitia…
Hii ndio zawadi ya harusi ambayo Cristiano Ronaldo kaamua kumnunulia wakala wake…
Ni zawadi gani ya ndoa unaweza kumnunulia wakala namba moja wa wachezaji duniani? 'Super agent' Jorge Mendes, wakala wa Jose Mourinho, James Rodriguez, Nani, Falcao, Angel Di Maria, Cristiano Ronaldo, anatarajia…
Inasemekana ni Wema Sepetu na Nuh Mziwanda kwenye hizi dakika 9.
Kama unatumia mitandao mbalimbali ya kijamii utakua umekutana na sauti ambayo inasemekana ni sauti ya Nuh Mziwanda na Wema Sepetu wakizungumza kitu kinachoashiria upendo wa Nuh kwenda kwa Wema. Nuh…
Di Maria ndio anaondoka hivyo…. bye bye Manchester United
Sio zaidi ya siku tatu zimepita toka kocha wa Manchester United Louis van Gaal athibitishe kutokujua wapi alipo kiungo wa Kiargentina Angel Di Maria baada ya kuulizwa swali na waandishi…
Hii ni picha ya John Pombe Magufuli miaka 40 iliyopita akiwa shule.
Alizaliwa mwaka October 29 1959 kwahiyo umri wake ni miaka 55 akiwa na headlines nyingi za uongozi alioanza nao mwaka 1995 alipokuwa pia naibu waziri wa kazi na leo hii…