Hii ndio kamati mpya itakayosimamia shindano la Miss Tanzania akiwemo na Jokate Mwegelo
Najua nina watu wangu wanaopenda headline za Ma Miss sasa good news ninayotaka kukupatia ni kwamba shindano la kumsaka mrembo Miss Tanzania limerudi rasmi, na leo kulifanyika utambulisho wa kamati…
Hii ni nyingine mpya kutoka kwa Omarion; ‘I’m Up’ feat. French Montana na Kid Ink. (Video)
Msanii wa R&B Omarion kwenye headlines, baada ya kudondosha audio ya 'I'm Up' wimbo aliomshirikisha French Montana na Kid Ink miezi michache iliyopita, msanii huyo wa R&B amerudi kutupa offical…
Rufaa ya MBOWE, Kampeni CHADEMA, MOI yazidiwa wagonjwa na ahadi za MAGUFULI…#StoriKubwa
MWANANCHI Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe amekata rufaa Mahakama Kuu kupinga hukumu iliyotolewa dhidi yake Julai, mwaka huu, na kumtoza faini ya Sh1 milioni baada ya kupatikana…
Tayari ninazo #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 8 ya Tanzania August 27, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Mkapa anguruma, Lowasa vizingiti kila kona, NEC yashtukia vyama vya siasa, + UKAWA yafanyiziwa! (Audio)
Kama hukuwa karibu na radio yako asubuhi hii uchambuzi wa magazeti @CloudsFM utakuwa umekupita. Zimesikika kubwa za leo kwenye vichwa vya habari baadhi zikiwa.. Vyama vya Siasa mtegoni, ratiba ya…
Magazeti 21 ya Tanzania August 27 2015, habari kubwa za udaku, michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Agosti 27,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko…
Man United Vs Club Brugge matokeo ni haya (Picha&Video)
Klabu ya Manchester United August 26 imeshuka dimbani kucheza mechi yake ya marudiano na Club Brugge ya Ubelgiji, mchezo huo ambao Club Brugge imecheza nyumbani lakini imepokea kichapo cha goli 4-0. Magoli…
Ni kweli Vietnam wanakula nyoka? Majabvi wa klabu ya Simba ana majibu hapa (+Audio)
Kiungo mpya wa kimataifa wa Zimbabwe anayeichezea klabu ya Simba Justice Majabvi ambaye amewahi kucheza soka barani Ulaya na Asia katika nchi ya Vietnam kabla ya kutua Simba mchezaji huyo ana uzoefu…
Umeikosa #Countdown ya stori za #Amplifaya leo Agosti 26 2015, zote nimekusogezea hapa..
Kama utaweza kuwasha radio yako na kujiunga na CloudsFM kila Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku utakutana na mtu wako wa nguvu Millard Ayo ambaye kazi yake ni kuzikusanya…
Matokeo ya Majimaji FC Vs The Might Elephant FC yapo hapa (Audio&Picha)
Klabu ya soka ya Majimaji FC ya Ruvuma Songea bado inazidi kujiandaa kwa ajili ya Ligi Kuu Tanzania bara itakayoanza Septemba 12 kwa michezo kadhaa kuchezwa. Majimaji FC inayofundishwa na…