T.I & Young Thug washirikiana kuisogeza kwetu ‘Off-Set’ (Video).
T.I na Young Thug wanaziandika headlines za burudani kwa mara nyingine tena, baada ya kufanya kazi pamoja mwaka 2014 kwenye wimbo wa 'About the Money' time hii wanaisogeza kwetu 'Off-Set'. Kitu kizuri…
Nick Mbish na changamoto za muziki, Umoja wa Marapper wa kike, Lamar kuja na brand yake…#255 (Audio)
Kwenye zile Stori za 55 leo Nick Mbishi amesikika akisema ukiritimba umekuwa mkubwa kwenye muziki ndio maana muziki haukui,..hakuna maendeleo bila migogoro, na yeye anasema hawezi kuacha kufanya collabo na…
Sehemu ya 3 ya Hekaheka, Mama wa mtoto na shangazi wamesikika leo…(Audio)
Sehemu ya tatu ya hekaheka ya mtoto anayelelewa na dokta baada ya kuzaliwa inaendelea, leo mama wa mtoto amepatikana na kuzungumzia tukio zima. Mama wa mtoto aitwaye Irene alirudi…
MASHA apelekwa Segerea, sakata la walimu, ahadi za MAGUFULI, Kipindupindu…#StoriKubwa August26
MWANANCHI Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtahadharisha mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema Edward Lowassa kuwa kampeni alizoanza kwa kuyatembelea makundi kadhaa zinaweza kutumiwa na…
Tayari ninazo #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 8 ya Tanzania August 26, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Hii ni nyingine mpya kutoka kwa Tyga wiki hii; ‘Glitta’ (Video).
Tyga kwenye headlines, baada ya kuachia video mpya wiki iliyopita 'Bu$$in Out Da Bag msanii huyo wa Hip hop hana mpango wa kumpumzika, yani ni ngoma juu ya ngoma na time hii…
Taylor Swift akataa kutoa show ya billion 4.4 kwa sababu hii hapa…+ (Video).
Headlines kutoka Marekani zinaandikwa na superstaa wa muziki wa R&B Pop Taylor Swift baada ya taarifa kusambaa kuwa amepiga chini dili ya kutoa show kwenye harusi ya Billionea, dili ambalo…
Joh Makini kathibitisha kufanyika kwa video 3 ikiwemo ya Rapper AKA wa South Africa
Good news ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa Joh Makini na G Nako ambao wapo Afrika Kusini Johannesburg kwenye maandalizi ya video zao. Joh Makini akiamplify kwenye AMPLIFAYA ya Clouds…
Magazeti 15 ya Tanzania August 26 2015, habari kubwa za udaku, michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Agosti 26,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko…
Maneno ya Waziri wa Fedha kuhusu fedha zilizotumika kuboresha Miundombinu
Agosti 25 ni siku ambayo Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum alizindua bodi ya PPF na mafao mapya ya mfuko huo.Katika mazungumzo ya Waziri huyo pia alitoa ufanunuzi kuhusiana na fedha…