Kuhusu matokeo Kidato cha nne 2013,kuyaona na taarifa zake zipo hapa.
Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA) leo February 21 limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha Nne kwa mwaka 2013 na kuainisha kuwepo kwa wanafunzi wengi waliopata daraja Sifuri ambao…
Umesikia idadi ya Tembo waliobakia Mbuga ya Seluu?ipo hapa.
Meno ya tembo bado ni ishu kubwa na stori zake bado zinazidi kumiliki headlines kutokana na ukweli kuhusu wanyama hawa wanavyoshambuliwa na majangili mbalimbali,February 20 Meneja uhusiano wa hifadhi ya…
Kevin Hart anahusika kwenye movie za wiki hii, cheki ratiba nzima hapa.
About last night movie ambayo inamuhusisha mchekeshaji maarufu hivi sasa Kevin Hart itaanza kuonyeshwa kwenye theater zote za hapa Tanzania. Ratiba yote ya movie zitakazoonyeshwa kuanzia February 21 hadi February…
Umekisikia Kilichomtokea Mkono wa Mkunule,sikiliza You heard ya leo.
Hii ni kutoka 92.9 Iringa ambapo Soud Brown ana-amplify taarifa za mmoja kati ya waigizaji wa Comed Tanzania,Huyu ni Mkono wa Mkonule ambaye umaarufu wake ulianza kuchukua kasi baada ya…
Ninayofuraha kukualika kuitazama video mpya ya Young Killer ‘Mrs super star’ hapa
Ni video nyingine tena ya mkali mpya kwenye headlines za hiphop Tanzania, Young Killer kutoka Mwanza (88.1 Clouds FM) ambae amedondosha video yake ya ‘Mrs super star’ iliyofanywa na Adam…
Uliipata hii ya mchungaji wa miaka 70 kufia kwenye nyumba ya huyu muumini Mwanamke?
Ni moja ya taarifa ambazo nimezisikia sana kwa wiki hii hapa Nairobi inayosema kuhusu Mchungaji mmoja maarufu kwenye mji huu kwa jina la Geofrey Maingi wa kanisa la Redeemed Gospel…
Takwimu ya maoni ya Katiba, fahamu kuhusu serikali 3, Urais wa Jamuhuri na mengine hapa
Kupitia ukurasa wake wa Facebook Mh. January Makamba amepost kuhusu sehemu ya maoni ambayo amedai ni kwa mujibu wa kitabu cha takwimu za ukusanyaji maoni ya katiba. Kitabu hicho cha…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo February 21
Teknolojia inaniruhusu mimi kukuunganisha moja kwa moja ili kusikiliza Magazeti yakisomwa Redioni kwenye Power Breakfast,Magazeti haya yanachambuliwa na PJ kupitia kisehemu cha Kuperuzi na Kudadisi. Sikiliza kupitia 92.9 Clouds Fm…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo February 21 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Picha 10 za show ya Jaguar zikiwemo za waliozimia baada ya kumuona.
Hapa ni wakati Jaguar ndio anaingia kwenye show, haya yote unayoyaona ni magari anayoyamiliki. Kutoka 254 kwenye ardhi ya Kenyata hii story inamhusu star wa single mpya ya Kioo ambayo…