Pichaz za uzinduzi wa Movie 3 mpya ikiwemo aliyocheza Ben Pol.
Kampuni ya Proin Promortion ambayo inashughulika na uongozaji na usambazaji wa filamu mbalimbali za Kitanzania ambapo February 20 2014 wamezindua Filamu mpya 3 ambazo zinategemewa kuingia sokoni hivi karibuni. Movie…
Alichosema Mbwana Samatta kuhusu Mrisho Ngassa
Mshambuliaji wa kimataifa mtanzania anayekipiga TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mtanzania Mbwana Samatta, amesema Mrisho Ngassa wa Yanga amefanya kitu cha maana kwa kupiga ‘Hat-Trick’ mbili mfululizo kwenye…
Fahamu siri ya uhusiano ya Ozil na kipa Manuel Neuer
“ Najua namna Mesut Ozil anavyopiga penati. Nilijua angesubiri kwa muda kabla ya kuamua upande upi apige.” – Manuel Neuer akizungumza kuhusu kuokoa penati ya Mesut Ozil. Mesut Ozil na Manuel…
Kilichosemwa na Mh.Membe kuhusu Mgogoro wa Mpaka kati ya Tanzania na Malawi.
Tanzania bado ipo kwenye mgogoro na nchi ya Malawi juu ya mpaka halisi wa nchi,Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh Benard Membe amesema hatma juu ya…
Umeiona video mpya ya P UNIT waliyofanya South Africa? @PUNIT_KENYA
Hii video P Unit waliifanya November 2013 Capetown Afrika Kusini wakati walipohudhuria tuzo za Channel O ambako walitangazwa washindi wa tuzo mbili. P Unit ni kundi la Kenya ambalo limeweza…
Video nyingine ya Wyre @WyreDaLoveChild
Ni zaidi ya wiki mbili toka huu mzigo uingie kwenye himaya ya Youtube lakini bado imekua ni single inayozidi kukua kila siku, ukiitazama mara moja unatamani kuitazama tena, ni yuleyule…
Hivi ndivyo Instagram ilivyomponza Abdul Kiba.
Wengi huwa wanasema mitandao ya kijamii ukiitumia vibaya inaweza kukuletea madhara sana na kama utaitumia vizuri basi inaweza kukuletea mafanikio makubwa sana,leo kupitia You herad ya leo Soud Brown ana-amplify…
Umeiona video mpya ya AT?ipo hapa.
Wale wa miduara huu mzigo wenu kutoka AT ambaye aliwahi kuwa member wa kundi la Offside Trick lililokuwa na makazi yake Zanzibar,wiki chache zilizopita kuna taarifa zilitoka za kup0elekewa barua…
Exclusive:Sikiliza wimbo mpya wa Mb Dogg unaoitwa Umenuna
Unapolitaja jina la Mb Dogg au Dogg Man tayari unajua ni nani anayezungumziwa ambaye kwa kipindi cha nyuma hit kama Latifa,Mapenzi kitu gani,Inamaana na zingine nyingi zilimueka kwenye headline na…
Utata kuhusu kifo cha mwanafunzi huyu,sikiliza kupitia Hekaheka ya leo.
Maktaba ya story zinazotokea mitaani bado imejaa na kupitia Hekaheka ya leo kuna taarifa ya mtoto aliyefariki kifo cha utata,ambayo taarifa kamili inatolewa na Leo tena kupitia kisehemu cha Hekaheka.…