Wakati katimiza mechi 1000 leo, hizi ndio rekodi zake mbalimbali za Arsenal
Kocha Arsene Wenger leo katika mchezo dhidi ya Chelsea atatimiza mechi 1,000 tangu alipoanza kuifundisha klabu hiyo ya London ya Kaskazini. Akiwa anatimiza michezo hiyo - mtandao wa Opta unaodili…
Show mpya itayoanza kuonekana on Clouds TV.
Clouds TV ambayo inapatikana kwenye ving'amuzi mbalimbali Tanzania, inayo furaha kukupa taarifa kwamba hii ni show mpya ambayo itaanza kuonekana 1st April 2014 na itakua ni Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia…
Kauli ya aliyemsajili Ronaldo Madrid, kuhusu mchezaji huyo kurejea Man United
Raisi wa zamani wa Real Madrid Ramon Calderon anaamini Cristiano Ronaldo anaweza kurudi Manchester United huko mbeleni. Mshambuliaji huyo wa Ureno alitumia miaka 6 kuitumikia klabu ya Old Trafford kati ya mwaka 2003 na 2009…
Alichosema Uhuru Selemani kuhusu kubaki au kuondoka Simba msimu ujao.
Winga wa timu ya Simba ya Dar es Salaam Uhuru Selemani ambae alirudi kwenye klabu hiyo mwaka jana akitokea Coastal Union amefunguka juu ya mustakabali wake ndani ya klabu hiyo.…
Sharti walilopewa Mbuyu Twite na Kavumbagu ikiwa wanataka kuendelea kuicheza Yanga
Mbuyu Twite na Didier Kavumbagu wa Yanga wana siku 30 tu za kuitumikia klabu hiyo kabla ya kufanya uamuzi mgumu wa kubaki au kuondoka Yanga ambapo siku hizo zinaanza leo…
Alichosema Sir Alex Ferguson kuhusu Wenger kutimiza mechi 1000 na Arsenal
Kocha Arsene Wenger kesho atatimiza jumla ya michezo 1000 tangu aanze kuifundisha klabu ya Arsenal mwaka 1996 ambapo katika kusherehekea rekodi hiyo makocha wenzake akiwemo Sir Alex Ferguson wemeongelea kuhusu…
Nilipopita kwenye birthday party ya Jokate.
Tarehe 20 March 2014 ilikua siku ambayo mrembo na mtangazaji wa TV Jokate Mwegelo alipokua akisherehekea kuingia katika mwaka wake mpya. Party yake ndogo kwa marafiki na watu wake wengine…
Kurasa za mwanzo na mwisho Magazetini leo March 22 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Robin Van Persie nje wiki 6 – hizi ndio mechi atazokosa
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United Robin van Persie ameripotiwa kwamba amepata majeruhi ya goti baada ya kuumia katika mchezo wa raundi ya pili wa hatua ya 16 ya…
Kama hukuisikiliza hotuba ya Rais Jakaya Kikwete leo March 21 kupitia Bunge la Katiba,ipo hapa yote.
Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete leo March 21 amelihutubia Bunge Maalum la Katiba baada ya kupata mwaliko wa Mwenyekiti wa Bunge hilo Mheshimiwa Samuel Sitta,ameongea vitu vingi sana ikiwa ni pamoja…