Matokeo ya mechi ya Mbeya City vs Simba na Yanga vs Komorozine yapo hapa
Mchezo uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu baina ya vilabu vya Simba na Mbeya City uliokuwa unachezwa hivi punde huko jijini Mbeya katika dimba la Sokoine umemalizika. Matokeo ya mchezo huo ni…
Ni kweli Lil Kim ni mjamzito, wengi walitaka kumjua baba… ndio huyu
Baada ya taarifa za Lil Kim kuwa mjamzito swali lililobakia ni kujua nani ndio baba wa mtoto huyo atakayezaliwa mwaka huu? Jibu ni kwamba rapper Mr. Papers ndio baba wa…
Kwa wale walio-miss vitu vya Lil Wayne, hii ni habari nzuri kwenu.
Lil Wayne alikuwa na Drake kwenye show ambapo Drizzy ametoa taarifa nzuri kwenda kwa mashabiki wa Wayne. Wakiwa katikati ya show hiyo Drake alitangaza
Kuhusu kunusurika ajali Kala Jeremiah siku ya Valentine.
Leo Kala Jeremiah kupitia ukurasa wake wa Instagram amepost picha inayoonyesha ajali aliyoipata wakati akitokea kwenye show yake iliyokuwa ikifanyika Club East 24 ambayo alikua akifanya show pamoja The B…
Vifahamu Vigezo anavyoangalia Young Killer kwenye Collabo zake.
Unaweza kuwa na ndoto za kutamani kumshirikisha Serengeti Fiesta Super Nyota 2012/13 Young Killer kwenye wimbo wako ambao unadhani anaweza kufit vizuri,millardayo.com imeongea na Young Killer kuhusu muziki wake kwa…
Meno ya Tembo bado ni ishu, haya ni mengine yamekamatwa ya milioni 700.
Stori za kukamatwa kwa meno ya tembo zimekua zikitoka kwa mfululizo nchini Tanzania ambapo kwenye post hii tunajiunga na Jeshi la Polisi 88.4 Mtwara ambalo lina taarifa za kukamatwa kwa…
Hii nyingine kali ya zawadi ya Valentine waliyopewa wapenzi na klabu ya Ubelgiji
Huko nyuma, vilabu vya Uholanzi na Uswis vimewahi kuwa na promotion kadhaa ambapo mashabiki waliweza kuangalia mpira uwajani wakiwa wanaoga kwenye hot tub kubwa linalokuwa ndani ya uwanja. Lakini wikiendi…
Baada ya kulizwa na kipigo wiki iliyopita, Balotelli aipa AC Milan ushindi kwa bao kali, litazame hapa
Baada ya kulizwa na kipigo kutoka kwa Napoli wiki iliyopita, mshambuliaji mwenye vituko wa kiitaliano Mario Balotelli jana usiku aliiongoza timu ya AC Milan kupata ushindi kutoka Bologna kwenye wa…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo February 15 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Picha 26 za maadhimisho ya miaka 10 ya wanamitindo kwenye Lady in Red
Hii ilikua Sherehe za Miaka 10 ya Lady In Red Super Brand ambayo inajishughulisha zaidi na wabunifu chipukizi wa hapa Tanzania na imefanyika usiku wa February 14 Serena Hotel hapa…