Unajua imepita miaka mingapi tangu mara ya mwisho Fulham kupata sare Old Trafford? Jibu hili hapa
Klabu ya Manchester United imekuwa ikiweka rekodi mpya ambazo ni hasi kwa klabu hiyo tangu kocha David Moyes aliporithi rasmi mikoba ya Sir Alex Ferguson mnamo Julai 1, 2013. Katika…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo Jumatatu February 10 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Jinsi Mario Balotelli alipolia machozi uwanjani.
Mario Balotelli alionekana akitokwa na machozi usiku wa mchezo wa ligi kuu ya Italia kati ya timu yak AC Milan dhidi ya Napoli, hali hii ilitokea baada ya kutolewa uwanjani…
Matokeo ya Simba v/s Mgambo Shooting haya hapa.
Mechi kati ya Simba na Mgambo Shooting imekamilika kwa ushindi wa goli 1-0 jioni ya leo mbele ya Mgambo Shooting Uwanja wa Mkwakwani 96.0 Tanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu…
Kwenye hii, Jay Z ndio cameraman alafu Beyonce kajitosa
Yani nguvu ya uhusiano wao na nguvu ya ustaa wao sasa hivi wakifanya chochote au kuonekana popote lazima tu waandishi watawaandika. Mfano ni baada ya Beyonce kupost hii video ambayo…
Yani toka jana kuna watu hawaiachi Arsenal, wamesambaza na hizi picha na kumjumuisha Moyes
Yani zile goli 5 walizofungwa Arsenal jana zimesababisha jina la timu hii litajwe na kuandikwa mara nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii ikiwa ni pamoja na kuambatanishwa na pichaz zikiwemo…
Alipoulizwa Moyes kuhusu kumpa Rooney unahodha wa Man United
Baada ya nahodha wa sasa wa klabu ya Manchester United Nemanja Vidic kutangaza kwamba ataondoka katika klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu, kumekuwepo na mjadala katika vyombo vya habari kuhusu…