Serebuka ya Mwasiti umeiona? picha za kina Godzilla, B12, Amini na Barnaba ndani @MwasitiJ
Ni wimbo ambao ulisogea na kuingia mpaka kwenye kumi bora kati ya zote 20 za Clouds FM Top 20 na kudumu kwenye eneo la kumi bora kwa wiki zaidi ya…
Hizi ndio rekodi na sifa za kocha mpya wa Manchester United
Hatimaye Manchester United wamemtangaza rasmi Louis Van Gaal kuwa kocha wao kuanzia msimu ujao. Louis Van Gaal ambaye alizaliwa miaka 62 iliyopita nchini Uholanzi anakuwa kocha wa kwanza kabisa kutoka…
Baada ya Kim na Kanye – Ronaldo na mpenzi wake nao wala shavu
Jarida la Vogue la Marekani mwezi uliopita liliwatoa kwenye cover wapenzi wanaotarajiwa kufunga ndoa hivi karibuni Kim Kardashian na Kanye West, na mauzo ya jarida hilo yakawavunja rekodi ya cover…
Baada ya Kala Jeremiah,hiki kimemtokea tena Mrisho Mpoto sikiliza kupitia You heard Mei 19.
Miezi michache iliyopita Kala Jeremiah alilalamika kuhusu kuingiliwa akaunti yake na mtu asiyemfahamu kisha kupost baadhi ya vitu ambavyo si yeye aliyepost,leo Mrisho Mpoto nae amesema yake ya moyoni kuhusu…
Huyu ndio Rais wa nchi anaecheza mpira wa kulipwa cheki na mshahara wake hapa.
Nikikupa nafasi ya kuniambia namba ngapi atakua anacheza huyu president wa nchi kwenye hili soka unaweza kuotea? hii inaingia kwenye list ya stori kubwa za millardayo.com Sasa unaambiwa club moja…
Taarifa rasmi ya Ryan Giggs kustaafu soka
Muda mfupi baada ya kutangazwa kuwa kocha msaidizi wa klabu ya Manchester United, mwanasoka Ryan Giggs ametangaza rasmi kustaafu soka. Giggs ambaye alianza kuichezea timu ya watoto ya Manchester United…
Cheki usiku wa Out All Night ulivyokuwa Club Bilicanas.
Ni usiku ambao ulikua umetawaliwa na burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii wa Tanzania ndani ya Club Bilicanas,hapa nakuonyesha picha jinsi kilivyo happen ndani ya Bilicanas kulikua na Young Killer,Godzila,Young D,Navykenzo,Mwana…
Huyu Ndiye kocha mpya aliyetangazwa na Man United.
Klabu ya Manchester United imemtangaza kocha Louis Van Gaal kuwa ndiye Meneja na kocha mpya wa timu kwa msimu ujao,hatua hiyo inakuja wiki kadhaa baada ya klabu hiyo kumtimua David…
Taarifa ya baadhi ya wajumbe baraza kuu CHADEMA kuhusu UKAWA
Ndugu wanahabari, tunapenda mtusaidie kufikisha ujumbe wetu huu kwa umma unaotokana na malalamiko na manung’uniko ya wanachama wenzetu wa CHADEMA kuhusu udhaifu mkubwa wa kiuongozi unaoendelea kwa sasa chini ya…
Hekaheka May 19 2014, Dada mjamzito alietengeneza kadi za kliniki zenye majina ya baba wawili
Kwa hali ya kawaida utajisikiaje ukigundua mpenzi wako ana ujauzito lakini sio wako? kadi ya clinic ina jina lako...... hii ya leo imetokea kwa dada mmoja mkazi wa Dar es…