Umesikia alichokifanya Ben Pol Dodoma?sikiliza kupitia You Heard ya leo March 07.
Huu ni mtiririko wa matukio yanayomfikia Gossip Cop Soud Brown,leo tukio lililofikishwa mezani kwake ni la Ben Pol kuchukua pesa ya show na kisha kutoonekana kwenye show yenyewe iliyokuwa imeandaliwa…
Ratiba ya ligi kuu ya Vodacom wiki hii hii hapa, fahamu Simba anakipiga na nani?
Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) inaendelea kesho (Machi 8 mwaka huu) kwa mechi tatu ambapo Coastal Union itaumana na Ashanti United kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga. Ruvu Shooting itaikaribisha…
Barua ya Moyes kwenda kwa mashabiki wa Manchester United.
Kocha wa Manchester United David Moyes ameandika barua ya wazi kwa mashabiki wa klabu hiyo akielezea kwamba msimu wake wa kwanza ndani ya klabu umekuwa mbovu zaidi kuliko ilivyotegemewa. Akiwasifu mashabiki…
Adhabu walizopewa Simba na Amissi Tambwe kwa uchawi na utovu wa nidhamu
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeipiga faini ya jumla ya sh. milioni moja klabu ya Simba kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo vitendo vinavyoashiria ushirikina uwanjani. Simba ilifanya vitendo hivyo…
Cheki jinsi wachezaji wa Chelsea wakiicheza Tupogo ya Ommy Dimpoz.
Muziki wa Bongo Fleva bado unaonekana ukiendelea kupata nafasi utazidi kuonyesha maajabu zaidi kwa mifano hai inayoonekana kupitia mataifa mbalimbali ambayo hayana utaratibu wa kuongea kiswahili au pengine hata kutofahamu…
Vifahamu vituo viliyopewa Onyo kali na Tcra.
Leo March 07 Kamati ya maudhui ilikua na kikao cha kusoma uamuzi dhidi ya vituo vilivyokiuka kanuni za utangazaji,akisoma uamuzi huo mbele ya waandishi wa Habari Mwenyekiti wa Kamati maudhui…
Sikiliza Hekaheka ya leo hapa.
Hii Hekaheka ilishatokea wiki chache nyuma zikimhusisha msichana wa umri wa miaka 13 ambaye alitangazwa kupotea,hatimaye kapatikana lakini sehem aliyokuwepo kwa kipindi chote hiko ndipo utata unapoanzia,kuna kitu pia kawashangaza…
Baada ya Kimya cha kimuziki,huu ndiyo ujio mpya wa Roma Mkatoliki.
Roma ni miongoni mwa wasanii ambao wanatoa nyimbo chache sana kwa mwaka mzima au pengine katika mwaka mzima akatoa wimbo mmoja tu,kumbukumbu ya wimbo wa mwisho kuuachia ulikua unaitwa 2030…
Barcelona yamsajili golikipa mpya kumrithi Valdes
Klabu ya FC Barcelona imetangaza kufikia makubaliano na Borussia Monchengladbach juu ya uhamisho wa golikipa Marc-Andre ter Stegen kwa ada inayokaribia kiasi cha €9-12 million pamoja na kucheza mechi mbili za kirafiki, gazeti…
Video: Hivi ndivyo wachezaji wa Chelsea walivyoicheza ‘TUPOGO’
Mchezaji wa timu ya vijana wa Chelsea, mtanzania Adam Nditi amempa shavu mwanamuziki Ommy Dimpoz baada ya kuwafundisha wachezaji wenzie kuucheza wimbo wa 'TUPOGO' kisha akawarekodi video na kuitupia kwenye…