Kauli ya Joh Makini kuhusu Lord Eyez na msg aliyoituma kwa millardayo.com
Rapper wa kundi la Weusi Joh Makini ametumia ukurasa wake wa Facebook kuandika kuhusu Lord Eyez ambae ni mwanachama wa kampuni ya WEUSI ambae amesimamishwa kazi kwenye kampuni hiyo siku…
Isikilize hapa single mpya ya Jux aliyomwimbia Jackie Cliff
Kwenye XXL ya Clouds FM March 4 2014 mwimbaji Jux amekubali kwamba hii single yake mpya amemuimbia mpenzi wake ambae ni Jackie Cliff, mrembo wa Kitanzania ambae ilidaiwa amekamatwa nchini…
Umeisikia hii ya WEUSI kuhusu Lord Eyez? wamemsimamisha?
Saa kadhaa baada ya stori kutoka kwamba Msanii wa hiphop Lord Eyez anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika na wizi baada ya kuvunja gari la mtu huko Arusha, Kampuni…
Hii stori ya nyama ya Punda kuchinjwa na kuuzwa rasmi Kenya umeipata?
Wakazi wa jiji la Naivasha nchini Kenya bado wanashikilia msimamo wao wa kutoka na imani na ulaji wa nyama ya Punda licha ya mmiliki wa kiwanda cha kuwachinja na kupakia…
Jinsi wazazi wanavyomtumia Binti yao kama chanzo cha mapato.
Hii ni Hekaheka ambayo imetokea Shinyanga inayohusisha wazazi wa binti mmoja kumfanya binti yao kama sehemu ya chanzo cha mapato yao,ambapo inapotokea binti anapoitwa na wavulana huwapa taarifa wazazi wake…
#Exclusive Bodi ya filamu Tz imetoa ya moyoni kuhusu filamu zote zilizofungiwa na idadi kamili.
Tumekuwa tukisikia mitaani stori mbalimbali kuhusu filamu zilizofungiwa huku tukiwa hatuna uhakika na kile tukisemacho lakini millardayo.com imepata nafasi ya kufanya exclusive interview na Joyce Fisoo ambae ni Katibu Mtendaji…
Hii ni teaser ya video mpya ya D knob Nishike Mkono.
Hii ni miongoni mwa nyimbo zilizotoka mwezi wa pili,ambazo zimeonekana kutoa ujumbe unaohusu mapenzi,upande wa Dknob aliutoa rasmi wimbo huu February 14 siku ya Valentine Day,Video yake tayari imefanyika na…
Kuhusu Okwi na Kiiza kuzuiwa na Yanga kujiunga na kambi ya timu ya taifa ya Uganda
Mgogoro uliokuwepo baina ya Yanga dhidi ya shirikisho la soka la Uganda (FUFA) kuhusu washambuliaji wao Emmanuel Okwi na Hamisi Kiiza waliotakiwa kwenda kuichezea timu yao ya Taifa maarufu kama…
Hizi ndio sababu za Kocha wa Simba kutomchezesha Mwombeki
STRAIKA wa Simba, Betram Mwombeki amekuwa akikumbana na wakati mgumu wa kupata namba katika siku za karibuni ndani ya kikosi cha Msimbazi, zimeelezwa sababu mbalimbali. Kati ya sababu za hivi…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo March 04.
Hizi ni dakika 16 za kusikiliza kilichoandikwa kwenye kurasa mbalimbali za magazeti ya leo March 04 na leo yanachambuliwa na kusomwa na Phillip Mwiyava kupitia Kuperuzi na Kudadisi ndani ya…