Wakenya wanakuja na hii ya Ikulu sasa hivi. (Trailer)
Naambiwa hii itakua ni kwa mara ya kwanza kwenye historia ya Uigizaji nchini Kenya kwani hii ni series ya kwanza ambayo itaanza kuonyeshwa on Zuku TV ikiwa imeigiza vitu vinavyohusiana…
Valentine’s day yangu leo ni hapa mtu wangu
Kwenye time hii ambayo Watanzania wameanza kupenda na kuuelewa muziki anaofanya Damian Soul ambae ukali wake mwingine upo kwenye kuimba LIVE on stage, naimani hii ndio itakua sehemu yangu nyingine…
#AyoTV: majibu ya Jokate kuhusu ishu yake na Wema Sepetu.
Hii ni Exclusive interview ya AyoTV na Jokate ambae kwenye media nyingine alizungumza kwa kifupi tu kuhusu yeye na Wema Sepetu kupatana na kushiriki pamoja kwenye show aliyoiandaa Wema Arusha.…
Kifupi kuhusu Valentine Day.
Hii ni vizuri kuifahamu mtu wangu wa nguvu wakati unasherehekea siku hii ya Valentine na yule umpendaye ni vizuri kujua maana halisi ya hii Valentine Day ambayo imeapishwa kufanyika kila…
Sikiliza hapa Magazeti yakisomwa Redioni leo February 14.
Utaratibu wa millardayo.com ni kukuwekea agazeti kisha kupata nafasi ya kuchambuliwa,pengine unaweza kuwa unakosa muda wa kufika kwenye vibanda vya magazeti au kuwa mbali na Redio,uchambuzi wa Magazeti kwa leo…
Magazeti ya leo February 14 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Hii ndiyo zawadi ya Valentine kutoka kwa Belle 9.
Kama ni miongoni mwa mashabiki wanaomfatilia Belle 9 kutoka 88.5 Morogoro,hii ameitoa maalum kwa ajili yako wewe shabiki wake,ni wimbo aliufanya miaka michache iliyopita na ndani ya wimbo huu kashirikishwa…
Msikilize Mbwiga leo February 13.
Zitumie dakika hizi chache kumsikiliza Mbwiga wa Mbwiguke leo February 13 sikiliza kupitia 88.4 Clouds Fm Mtwara. Bonyeza play kusikiliza.
Kama unapenda kazi za D Banj, hii ni video mpya kutoka kwake.
Jina lake kamili ni Dapo Daniel Oyebanjo mshindi wa tuzo za MTV,BET na nyingine nyingi. D Banj ameshawai kuja Tanzania miaka iliyopita na hivi sasa ametoa audio na video mpya…
Naona watu wangu wa Iringa wameletewa hii night club mpya.
Kwa wewe mtu wangu ambaye ni mkazi wa 92.9 Iringa hebu ichukue hii kwa ajili yako nimepata taarifa kuwa kwa sasa Iringa imepata Club mpya na ya kisasa ambayo kwa…