Hii ya huyu mtoto Mchina wa miaka mitano kuendesha Caterpillar nayo imetisha. (video)
Hii video nimeitazama zaidi ya mara sita labda ni kwa sababu huwa napenda watoto na pale wanapofanya maajabu ndio mapenzi yanazidi kabisa. Hii video sio mpya kwenye internet ila nimechelewa…
Za Insta: Wema Sepetu kuhusu wanaomtukana, @vanessamdee Nigeria, Diamond muonekano
Instagram umekua mtandao mwingine wa kijamii unaokua kwa kasi kwenye nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania kwa sasa ambapo zifuatazo hapa chini ni stori na pichaz chache kutoka kwenye mtandao huu.
Video ya sekunde 16 ya igizo jipya ikimuonyesha mpenzi wa Mbrazil Neymar.
Bruna Marquezine ni mpenzi wa staa wa soka Mbrazil Neymar (22) ambae anaichezea Barcelona ambapo wameanza kuwa mapenzini toka mwaka 2013. Bruna ametokea kwenye igizo jipya la TV nchini Brazil…
Davido leo ametoa video mpya ya dakika 4 na sekunde 11 kwa Aye
Tofauti na video ya Skelewu ambayo watu wengi hawakuipenda na kuichana waziwazi kwenye Youtube, mapenzi kwa hii video mpya yamekua makubwa kwa upande wa fans mpaka Davido mwenyewe amewashukuru fans…
Kuhusu ile kesi ya Lulu ya mauaji ya bila kukusudia.
Mwigizaji Elizabeth Michael 'Lulu' ambae anakabiliwa na kesi ya mauaji bila kukusudia ya mwigizaji Steven Kanumba anatarajiwa kuanza kujibu mashitaka yake kwa mara ya kwanza Februari 17 2014 katika Mahakakama…
Yule Mganga wa AT si kaenda Mahakamani, stori kamili hii
February 6 2014 You heard ilihusu yule jamaa anaesemekana kuwa mganga wa msanii wa AT juu ya pesa anazomdai AT na akasema kuwa kamkimbia, sasa hatimaye AT kapelekewa barua hiyo…
Kama hukupata mualiko wa Accoustic Musical Concert pale Escape 1 hizi hapa picha zake.
Tanzania House of Talentusiku wa February 06 waliandaa tamasha maalum ambalo halikuwa na kiingilio bali watu walikua wakiingia kwa kadi maalum zilizotolewa kwa watu kadhaa kwa ajili ya kushuhudia onyesho…
Khadija Kopa ameeleza hapa kwanini imeshindikana kufanya wimbo wa pamoja na Mzee Yusuph
Leo kupitia kipindi cha Leo Tena kutoka Super Brand Radio Clouds Fm Malkia wa mipasho Tanzania bi.Khadija Kopa ameelezea sababu zinazofanya kuchelewa kwa Collabo yake na Mzee Yusuph wa Jahazi…
Huu ndio mshahara anaolipwa Mbwana Samatta Tp Mazembe.
Kwenye kumbukumbu miaka minne iliyopita mshambuliaji toka Tanzania anayeichezea Tp Mazembe ya DR Congo Mbwana Ally Samatta hakuwahi kumake headline katika soka hapa nyumbani zaidi ya kusikika kwa mbali wakati…
Fahamu alipo Mcameroon huyu pekee aliyewahi kuichezea Manchester United
Huyu ndio mwafrika pekee kutoka katika nchi ya Afrika Magharibi ( Cameroon ) ambae amewahi kuvaa jezi ya klabu ya Manchester United. Eric Djemba Djemba, kiungo mkabaji wa timu ya…