Ulisikiliza magazeti ya leo yakisomwa redioni?kama ulimis yapo hapa.
Kila siku za wiki kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa millardayo.com inakupa nafasi ya kusikiliza magazeti yakisomwa redioni kupitia Kuperuzi na Kudadisi ndani ya Power Breakfast utamsikia pia moja kati ya wawakilishi…
Kilimchokuta refa aliyempa Cristiano Ronaldo kadi nyekundu.
Mwamuzi aliyechezesha mchezo wa ligi kuu ya Hispania kati ya Athetico Bilbao VS Real Madrid na kumtoa kwa kadi nyekundu mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo wikiendi iliyopita amesimamishwa. Kamati…
Ungependa kujua alichopost Mrisho Ngassa kuhusu Amisi Tambwe wa Simba? Hiki hapa
Mshambuliaji wa klabu ya Yanga Mrisho Ngassa juzi alifanya kitu ambacho wapenzi wengi wa klabu yake ya Yanga wanaweza kuwa hawajawahi kukifikiria kama angekifanya - hii ilikuwa baada ya kutumia…
Namna vitendea kazi hivi vinapokosewa utumiaji wake.
Hizi ni picha ambazo zimepigwa zikionyesha ndugu zetu hao wakijisaidia haja ndogo kwenye sink mahali ambako baada ya kujisaidia unatakiwa kunawa mikono,kwa maelezo ya mpigaji wa picha hizi anadai vyoo…
Hii ni ya Maisha Club leo February 07.
Inaweza kuwa jijini Dar na ukawa na mdau wa muziki ukajikuta huna mahali pa kwenda na kuburudika,naomba nichukue nafasi hii kukufahamisha kuwa leo New Maisha Club wana kitu maalum kwa…
Magazeti ya leo February 07 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Hivi ndivyo Tht walivyokuwa wakishoot Dvd yao na kuwatambulisha waimbaji wapya
Usiku wa February 06 umekua ni usiku uliopambwa na sauti mbalimbali za waimbaji toka Tht ambao wamekaa jukwaani zaidi ya masaa 3 wakirekodi Dvd yao huku wakitoa burudani kwa waalikwa…
Afisa Mtendaji anaedai kushambuliwa na wafuasi wa Chadema
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Khamis M. Mgeja alikwenda kumpa pole Afisa Mtendaji wa kata ya Ubagwe katika halmashauri…
Wale wa Nicki Minaj, hizi ndio picha zake 6 zinazotazamwa sana mitandaoni kwa sasa.
Unaambiwa rapper wa Cash Money > Nicki Minaj... anajipanga kuja na muonekano mpya huku akijiandaa kutoka na album au mixtape. Mara nyingi picha zilizozoeleka ni zile zinazomuonyesha akiwa na muonekano…
Ulimis kumsikiliza Mbwiga February 06,msikilize hapa.
Kwa wewe mpenda soka na mdau wa michezo,zitumie dakika hizi chache kumsikiliza Mbwiga wa Mbwiguke February 06 akizungumzia sekta ya michezo hasa mpira wa miguu kama kawaida yake,sikiliza kupitia 96.0…