ExclusiveVIDEO: Mbunge Agness Marwa aliyetamani kulia bungeni ahojiwa na AyoTV
Agness Marwa ni mbunge viti maalum CCM ambaye hivi karibuni ametembea sana kwenye Whatsapp za watu na mitandao mingine ya kijamii kupitia video yake akisema anatamani kulia na anasikia uchungu wakati akichangia kwenye hotuba…
Leaked: Dakika 3 za wimbo mpya wa Chriss Brown ft T-Pain ‘Bring It Back’
Headlines za ngoma za wasanii kuvuja zinazidi kugonga vichwa vya habari, baada ya staa wa Bongofleva Alikiba ngoma yake ya 'Aje' kuvuja, staa kutoka USA Chriss Brown imevuja nae ngoma…
AUDIO: Kauli ya kwanza ya Mkwasa baada ya kumuita Cannavaro ‘Taifa Stars’
Kocha wa timu ya Tanzania Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa ameeleza amejibu kwa nini amemuita Nadir Haroub Cannavaro katika kikosi licha ya staa huyo kutangaza kuwa amestaafu kuichezea Taifa Stars.…
Mtu mwenye umri mkubwa zaidi Duniani amezieleza hizi sababu za kuishi maisha marefu
Mwananamama huyo anayeitwa Emma Moran raia wa Verbania Italy ametangazwa hivi karibuni kuwa ni mtu mwenye umri mkubwa kuliko wote duniani akiwa na umri wa miaka 116. Akitoa sababu zake za kuishi…
PICHA 15: Kutoka kwenye Jengo la shule ya Islamic Girls Ilala lililowaka moto
Baada ya jengo la shule ya Islamic Girls kuwaka moto usiku wa May 17 2016, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ameungana na Sheikh Mkuu wa Mkoa…
VIDEO: Tatizo la foleni Dar limemgusa Mbunge Bonnah Kaluwa, kaamua kuyaongea haya..
Bunge la 11 limeendelea Dodoma, May 17 2016 ilikuwa ni zamu ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuwasilisha hotuba yake pamoja na kuomba kupitishiwa bajeti yake ijayo. Kazi iliyofanywa na…
Licha ya kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa GD Esperanca, Yanga imetinga hatua ya Makundi Kombe la CAF
Siku 11 baada ya klabu ya Dar es Salaam Young Africans kucheza mchezo wake wa kwanza wa hatua ya mtoano ya 16 ya Kombe la shirikisho barani Afrika CAF, Leo…
VideoMPYA: Yemi Alade ft Mr Flavour ‘Kom Kom’ imeachiwa leo May 18 2016
May 18 2016 tv nyingi za Afrika zilipata nafasi ya kupiga au kuonesha video mpya ya mrembo kutoka Nigeria Yemi Alade akiwa kamshirikisha mkali mwingine kutoka Nigeria Mr Flavour, Yemi…
VideoFUPI: Baada ya post zao kuingia kwenye headlines Vanessa na Shilole wameyaongea haya..
Headlines zilianza kuandikwa siku ya May 17 2016 baada ya mastaa wawili kutoka kiwanda cha bongoflevani kurushiana maneno katika post zao walizozipost kwenye mtandao wa Instagram, Stori ilianzia kwenye Picha,…
Uliisikia ishu ya Nikki wa Pili kumuandikia Mistari Joh Makini? Nikki wa Pili kayazungumza haya
Kama ulikuwa umewahi kuzisikia story za Nikki kumuandikia Joh Makini mistari leo Nikki mwenyewe kaamua kulizungumzia. Kutoka kwa Perfect Crispin ambaye ni mtangazaji wa Clouds FM ametusogezea stori hii ya Nikki wa Pili na…