Siku 5 baada ya Liverpool kumsimamisha Sakho, UEFA wamempa adhabu ya muda
April 23 2016 uongozi wa klabu ya Liverpool ulitangaza kumsimamisha beki wa kati wa kimataifa wa Ufaransa anayeichezea klabu hiyo Mamadou Sakho kutokana na kugundulika kutumia dawa za kusisimua misuli…
Zitto Kabwe kazirudisha upya hizi tuhuma mbili za rushwa bungeni
Kutoka Bungeni Dodoma Mkutano wa bunge umeendelea tena leo April 28 2016 ambapo mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amewasilisha bungeni ripoti mpya ya tuhuma za IPTL, Tegeta Escrow pamoja na…
VideoFUPI: Watumishi hewa Kinondoni wamegundulika wapya, idadi yao ni zaidi ya asilimia 80 ya awali
Bado agizo la Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli la kuwatoa katika mfumo wa mishahara watumishi hewa linazidi kushika kasi kila…
VIDEO: ‘Wachawi wanaendelea kuroga’ Spika wa Bunge Job Ndugai
April 28 2016 katika kipindi cha maswali na majibu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alikuwa akijibu maswali kutoka kwa Wabunge, lakini katikati ya maswali vipaza sauti vilianza kusumbua na hadi kumlazimu…
Picha ya mastaa hawa yazua utata kwenye mitandao ya kijamii…(+Audio)
April 28 2016 Soudy Brown ametuletea hii ya mastaa wawili kudaiwa kutoka kimapenzi baada ya picha yao kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii, kama hukupata time ya kuisikiliza hii usijali…
Exclusive: Picha 10 kutoka ndani ya studio, hapa ni Baraka Da Prince na Alikiba….
Ni Usiku wa 27, 2016 ambapo muunganiko wa ladha mbili kutoka kwenye kiwanda cha Bongo Fleva unagusa headlines za burudani baada ya msanii Baraka Da Prince kumshirikisha msanii Alikiba kwenye…
Kama unataka kufanya collabo na Diamond Platnumz haya hapa ni ya kuyajua…
Kama utakuwa ni mpenzi wa kufuatilia stori za entertaiment basi hizi hapa zisikupite, millardayo.com imekurekodia stori zote za April 27 2016 ambazo zimepata airtime kupitia 255 ya XXL na moja ya…
PICHA 7: Mwili wa Marehemu Papa Wemba ulivyowasili Congo leo April 28 2016
Asubuhi ya Jumapili April 24 2016 taarifa za kifo cha mwimbaji Mkongwe kutoka Congo DRC aitwae Papa Wemba ziliripotiwa kuwa alifariki baada ya kuanguka jukwaani akiwa anatumbuiza huko Ivory Coast, leo…
VIDEO: Majibu ya Waziri mkuu bungeni kuhusu mikataba serikali ya Tanzania inayoingia
Mkutano wa tatu, kikao cha sita umeendelea tena leo April 28 2016 bungeni Dodoma, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kayajibu baadhi ya maswali kutoka kwa Wabunge, moja ya swali kutoka kwa…
VIDEO: Swali la Mwita Waitara kwa Waziri mkuu Majaliwa bungeni April 28 2016
Mkutano wa tatu, kikao cha sita umeendelea tena leo April 28 2016 bungeni Dodoma, Katika kipindi cha maswali na majibu kwa Waziri Mkuu Mbunge wa Ukonga, Dar es salaam Mwita…