Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 23 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
April 23 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Mtoto Mtanzania wa miaka 16 alivyoongea kwa kujiamini mbele ya viongozi wa dunia umoja wa mataifa
Mtoto Mtanzania mwenye umri wa miaka 16 Getrude Clement kutokea Mwanza amehutubia mbele ya viongozi mbalimbali wa dunia kwenye mkutano wa umoja wa mataifa akiwa mwenye kujiamini na kutoonekana kuwa…
VIDEO: Baada ya Ukawa kususia Bunge, Waziri Nape kawajibu haya..
Moja ya headline iliyochukua nafasi April 22 ni pamoja na hii ya Umoja wa vyama vya upinzani bungeni kutangaza kuwa havitashiriki kuchangia hoja mikutano yote inayoendelea hadi baadhi ya vipengele…
VIDEO: Bossou kaeleza mbinu za wachezaji wa Al Ahly wakiona mambo magumu kwao
Klabu ya Dar es Salaam Young Africans ilirejea Dar es Salaam Ijumaa ya April 22 2016 ikitokea Misri ilipokwenda kucheza game yake ya marudiano dhidi ya Al Ahly, Yanga imeondolewa…
Habari 5 kubwa kwenye TV za Tanzania April 22 2016
Kama utakua ni mpenzi wa kutazama taarifa ya habari na hukupata time ya kutazama taarifa ya Habari ya April 22 2016 kupitia TV za Tanzania usijali millardayo.com imekurekodia habari 5 kupitia…
VIDEO: Moja kati ya matukio ya kukumbukwa ya Prince ni hili la kumtoa Kim Kardashian kwenye stage
Wakati dunia inaomboleza kifo cha mwanamuziki nguli Prince Rogers Nelson ambaye alifariki April 21 2016 katika makazi yake ya Minneapolis, taarifa zilisema alikutwa amekwama kwenye lifti katika studio za Paisley Park.…
VIDEO: TOP 10 ya kadi nyekundu za kizembe walizowahi kuoneshwa wachezaji, huyu kafunga goli halafu kavua nguo
Mpira ni mchezo ambao unahusisha mbinu nyingi sana ili kuweza kupata matokeo kwa upande wa wachezaji uwanjani, wakati mwingine timu inapokuwa inaongoza kwa ushindi halafu wachezaji wake wanachelewesha huwa inawaudhi…
VIDEO: Sababu za UKAWA kususia bunge leo? wanayataka haya…
Bunge la 11 limeendelea tena April 22 2016, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipata nafasi ya kuwasilisha hotuba yake ya mapato na matumizi ya fedha za ofisi ya Waziri Mkuu kwa…
BREAKING: UKAWA wametangaza maamuzi yao, sababu Bunge halionyeshwi live kwenye TV
Utaratibu mpya ni wa timu maalum iliyopewa kazi maalum ya kurekodi matukio ya Bunge yote yanayofaa kufikishiwa Wananchi na hayo matukio ndio wanapewa Waandishi wa habari ila hakuna tena utaratibu kama…
VIDEO: Birdman kaenda kwa hasira kwenye kituo cha Radio, kapandishiana na Watangazaji na kuondoka
Rapper Birdman ambaye ni mmoja wa waanzilishi wa CASH MONEY records ambaye pia mchango wake upo kwenye muziki wa kina Nicki Minaj, Drake na Lil Wayne na wengine, amejikuta kwenye headlines leo baada ya…