Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti April 22 2016…#PowerBreakfast (+Audio)
April 22 2016 millardayo.com imekurekodia uchambuzi wa magazeti kutoka Power Breakfast ya Clouds FM, ni uchambuzi wa Habari zote kubwa kupitia magazeti yaliyoandikwa leo Tanzania, Hizi ni baadhi ya Habari…
Ukiniuliza movie gani kali ya kutazama leo Cinema Dar es salaam….(+TRAILER)
Unamkumbuka staa Chris Hemsworth aliyewahi kujichukulia umaarufu kwenye movie kadhaa ikiwemo ya Thor: The Dark World, In the Heart of the Sea, The Avengers sasa time hii staa huyo kashiriki pia kwenye…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 22 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
April 22 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
EXCLUSIVE: Mtanzania Farid Musa amekwenda Hispania kwa soka la majaribio… taarifa za awali ziko hapa
Baada ya headlines za muda mrefu kumuhusisha winga mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania na klabu ya Azam FC Farid Musa kuandikwa kuwa huenda akaenda kufanya majaribio katika klabu…
Dunia imepata msiba wa mwimbaji wa siku nyingi Prince
Legendary wa muziki Marekani na Duniani Prince Rogers Nelson, mwenye umri wa miaka 57 ambaye aliwahi kuuza takriban albamu milioni 100 na aliwahi kubuni chapa yake binafsi ya muziki uliokuwa na…
Manne aliyoyazungumza Rais Magufuli April 21 2016, wanaotumbuliwa hadharani, watumishi hewa, Bandari na CCM
April 21 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amekutana na wenyeviti, makatibu wa chama cha mapinduzi 'CCM' wa mikoa na wilaya za Tanzania na visiwani…
Dakika 5 za Rais Magufuli akiwajibu wanaosema anawanyanyasa kutumbua majipu hadharani
April 21 Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli amezungumzia kuhusu habari zilizokuwa zinaongelewa kuwa anakosea kutumbua majipu hadharani, habari hizo zimekuja…
INSTAGRAM: TOP 10 news za mastaa wa Tanzania April 21, 2016 Babu Tale, Mwana FA, Vanessa Mdee na wengine
Kazi yangu ni kuhakikisha hupitwi na chochote ndio maana natumia muda wangu mwingine pia kukusanyia kile kilichoandikwa au kilichopostiwa na mastaa wa Tanzania kwenye mitandao yao ya kijamii, kwa leo…
List ya Visiwa 10 Bora Duniani 2016 imetoka, Afrika kipo kimoja tu.
Duniani zipo sehemu nzuri na za kuvutia zaidi, maeneo mengi ya visiwani yanawezekana yakaongoza kwa kuvutia kutokana na kuwa na mazingira mazuri ya asili yanayovutia, watu wengi hutumia maeneo haya…
Baada ya Wenger kupata taarifa kuwa mashabiki wa Arsenal hawatokuja uwanjani leo April 21 2016
April 21 2016 hii inaweza ikawa siku ambayo kocha wa klabu ya Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger hatoisahau kama kweli itatokea kama ambavyo inaripotiwa na mitandao, kuwa mashabiki wa Arsenal…