Video: Mastaa wa Bongo walivyoiandaa hii party kwaajili ya Paul Makonda
March 13 2016 Rais John Pombe Magufuli aliwateuwa wakuu wa Mikoa 26 ya Tanzania na baadhi ya wakuu hao ni pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda, March…
video: Yaliyonifikia kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani kitengo cha Uhamiaji
Wizara mbalimbali za Serikali hii ya awamu ya tano zinazidi kuingia kwenye headline, ikiwa ni siku kadhaa zimepita baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Charles Kitwanga kuagiza…
Hii ni mpya kutoka kwa Kid Ink ‘Promise’ feat Fetty Wap (+Video)
Msanii wa R&B Kid Ink ameingia kwenye headlines, baada ya kudondosha audio ya ‘Promise’ wimbo aliomshirikisha Fetty Wap mwaka jana, msanii huyo wa R&B amerudi kutuletea offical video ya wimbo huo. https://www.youtube.com/watch?v=DE1NciB_gEU Unataka kutumiwa…
Ukiniuliza ni movie gani ya kuitazama CINEMA leo Dar es salaam ikiwemo aliyoshiriki Justin Bieber…. +TRAILER ziko hapa
Zoolander 2 ndiyo movie mpya itayoanza kuonyeshwa leo dunia nzima kwenye theater mbalimbali ambayo ameshiriki staa Justin Bieber, kama vipi ungana na dunia nzima na wewe ukaangalie movie hii. Cheki…
Nyingine mpya kutoka kwa Makonda, Milioni moja kwa Polisi..(+Video)
Leo March 18 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amekutana na Kamanda wa Polisi kanda maalum Simon Sirro pamoja na Askari Polisi kwa lengo la kujionea mwenendo wa…
Bongo Sasa Mwanafunzi anaweza kujisomea hata kwa SMS
Kwa miaka kadha Serikali na wadau mbalimbali wa Elimu wamekuwa wakitafuta namna ya kuikwamua Elimu ya Tanzania kutokana na kuwepo kwa ufaulu usioridhisha kwa wanafunzi wa Shule za Sekondari. Hapa leo…
Thaban Kamusuko akabidhiwa kitita chake
Kiungo wa Yanga, Thaban Kamusoko aliibuka Mchezaji bora wa Ligi Kuu Vodacom Tanzania Bara kwa mwezi Desemba 2015. Mzimbabwe huyo aliibuka baada ya kumshinda mchezaji mwenzake wa Yanga, mshambuliaji Amiss Tambwe, raia wa…
Kama ilikupita droo ya mechi za robo fainali za Ligi ya Mabingwa Ulaya na Europa Ligi
Baada ya kumalizika kwa mechi za hatua ya 16 ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, mchana wa March 18 shirikisho la soka barani Ulaya zilichezesha droo za kupanga mechi…
Simba aliyeingia mtaani na kujeruhi Mtu akamatwa Kenya
Asubuhi ya leo March 18 2016 iliripotiwa taarifa ya Simba mmoja aliyetoroka kutoka Hifadhi ya Taifa ya Nairobi nchini Kenya na alionekana mtaani na kumjeruhi mtu mmoja. Huduma ya Wanyamapori ya…
Jeshi la Polisi Dar lilivyozikusanya Mil 577 za wakosaji Barabarani
Polisi Kanda maalum Dar es salaam kupitia kitengo cha usalama barabarani wametoa taarifa ya makosa ya barabarani kuanzia March 07 2016 hadi March 18 2016 kuwa wamefanikiwa kukamata magari mbalimbali…