Mapenzi ya Games za Play Station zamfanya shabiki huyu kuchezesha mechi akiwa jukwaani !!!!
Mchezo wa soka ni mchezo ambao hupendwa na watu wengi ila kitu ambacho huvutia zaidi uwanjani ni pale kila shabiki wa timu fulani anavyo furahia kwa style yake, hii ni mpya…
Kevin De Bruyne kavunja rekodi ya Raheem Sterling Manchester City (Picha)
Klabu ya Manchester City ya Uingereza ambayo ilikuwa ni moja kati ya vilabu vingi vilivyo kuwa vikihusishwa na kumsajili kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji na klabu ya Vfl Wolfsburg…
Maneno ya Zitto KABWE na ya Mgombea Urais ACT wakati wa uzinduzi wa kampeni Leo..
Chama cha ACT Wazalendo leo walikuwa wakizindua kampeni zao Katika viwanja vya Mbagala Zahkeem kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 25. Pamoja na kuzindua kampeni hizo pia walikuwa wakimtambulisha mgombea wao wa…
Nimekusogezea picha 30 za uzinduzi wa kampeni za ACT wazalendo
Bado harakati za uzinduzi wa kampeni za siasa zilikuwa zikiendelea katika maeneo tofauti Dar Es Salaam, August 30 ilikuwa ni siku ya uzinduzi wa kampeni za chama cha ACT- Wazalendo…
Siku 3 kabla usajili kufungwa – Neymar ameyasema haya kuhusu kujiunga na Man United
Yakiwa yamebakia masaa takribani 72 kabla ya dirisha la usajili barani ulaya kufungwa, winga wa kibrazil Neymar ambaye amekuwa akihusishwa na kujiunga na Man United hatimaye ametoa kauli yake. …
MAGUFULI akana kulazwa ICU, LOWASSA Jangwani, SUMAYE alipuka, MWAKYEMBE na Richmond..#StoriKubwa
MWANANCHI Wakati Waziri Mkuu wa zamani, Fredrick Sumaye akitangaza kuihama CCM, alidokeza kuwa siku moja chama hicho kitaona umuhimu wake, na jana alianza kuonyesha hilo alipopangua hoja dhidi ya…
Shabiki wa West Ham United kafanya hivi kusherehekea ushindi wa goli 3-0 dhidi ya Liverpool (Picha)
Kwa mujibu wa John High shabiki wa klabu ya West Ham United ya Uingereza amekiri kupitia ukurasa wake wa twitter kuwa ni miaka 52 sasa klabu ya West Ham United…
Magazeti ya Tanzania Agosti 30, 2015.. Michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumapili Agosti 30,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Michezo na Hardnews, zote ziko hapa…
Nikusogezea karibu na hotuba ya viongozi wa UKAWA mtu wangu (+Audio)
Tukiwa tunaelekea katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani August 23 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilizindua kampeni zake za kunadi sera zao na ilani ya chama chao utaratibu huo…
Sentensi za Mgombea Urais kupitia CCM Dkt John Pombe Magufuli mkoani Njombe ziko hapa….
Siasa zinaendelea kugusa headlines za habari kubwa kila siku, leo ninayo hii post nyingine kwa ajili yako mtu wanguvu.. hii inahusu mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt John…