Mamilioni ya Stand United yawapeleka nyota hawa Shinyanga
Mkataba mnono walioupata klabu ya Stand United ya Shinyanga kutoka katika kampuni ya uchimbaji madini inaonekana kuzidi kuutumia vizuri kwa kuongeza nguvu katika kikosi chake kwani imewasajili wachezaji nyota wawili. Klabu…
Ulikua mbali na Radio? stori zote 10 za AMPLIFAYA Agosti 10, 2015 nimekuwekea hapa
Amplifaya ni show ambayo inasikika kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku on Clouds FM ikiwa na mkusanyiko wa stori kumi kubwa za siku kutoka kwenye siasa, michezo, muziki,…
Kaseja alipelekwa Oman na viongozi wa Simba? majibu yapo hapa
Baada ya kuenea kwa uvumi wa muda mrefu kuhusiana na klabu ya Soka ya Simba kutaka kumrejesha kikosini golikipa wake wa zamani ambae alikuwa Yanga kabla ya kutibuana na viongozi…
Alichosema Mzimbabwe wa Simba kipo hapa, vipi anaijua Simba?
Ikiwa ni wiki moja imepita toka klabu ya soka ya Simba imlete kiungo wa kimtaifa wa Zimbabwe aliyekuwa anacheza soka la kulipwa katika klabu ya Vicem Hai Phong F.C ya Vietnam Justice…
Redknapp anawapa nafasi Arsenal ya kutwaa Ubingwa ila……..
Kocha wa zamani wa klabu za Tottenham Hotspur na Queens Park Rangers Harry Redknapp anakikubali kikosi cha Arsenal kuwa imara na kuwapa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza kama…
Barabara zilivyofungwa Dar baada ya Lowassa kuchukua Fomu ya Urais NEC leo.. (Pichaz)
Headlines za Siasa zinaendelea kubeba uzito wa juu Tanzania, August 10 2015 Mgombea Urais anayewakilisha UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa amefika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC na kuchukua…
Feza Feat.Chege kwenye headlines za burudani na hii mpya ‘Sanuka’…(Audio)
Baada ya ukimya aliyekuwa mshiriki wa Big Brother, Feza Kessy ameachia single yake nyingine mpya inayoitwa 'Sanuka' ndani akimshirikisha Chege. Ngoma hiyo imetayarishwa na producer Sheddy Clever. Usikilize hapa mtu…
Hivi ndivyo video ya Linah ‘No Stress’ ilivyotengenezwa South Africa (Behind The Scene)
Mkali kutoka Tanzania Linah wiki iliyopita alifanikiwa kuachia video yake ya wimbo wake mpya unaoitwa No Stress video ambayo iliongozwa na moja kati ya Madirector wakali Afrika anaitwa God Father…
Yapo hapa mengine ya Wema Sepetu kuhusu Magufuli na Lowassa..
Wakati wagombea mbalimbali wa vyama vya Siasa nchini Tanzania wakiwa na wafuasi wao wakiendelea kuingia kwenye headlines mbalimbali Aug 10 nakukutanisha na hii post ya Mrembo Wema Sepetu. Kama unamfatilia…
Mashabiki wamuunga mkono Dr wa Chelsea.
Daktari wa klabu ya Chelsea Eva Carneiro amewashukuru masabiki wa klabu hiyo ambao walichukua muda wao na kutuma ujumbe wa kumuunga mkono baada ya kocha wa klabu hiyo Jose…