Louis van Gaal akubali yaishe, kafanya maamuzi magumu
Kocha wa Manchester United Louis van Gaal ambae anafahamika kwa kuwa na msimamo na kazi yake, sio kocha rahisi kuyumbishwa na mchezaji wala uongozi anachokipanga ni lazima kiwe ila anaonekana…
Ni video nyingine mpya kutoka bongoflevani…Mirror ‘hapo ulipo’
Ni msanii mwingine kutoka kwenye ukoo wa bongofleva, anaitwa Mirror na yupo chini ya usimamizi wa kampuni ya mwigizaji wa Tanzania Wema Sepetu, video inaitwa hapo ulipo na imefanywa na…
Nilichokikuta Facebook Twitter na Instagram za watu maarufu Tanzania weekend hii.
Mitandao ya kijamii kama Facebook, Twitter na Instagram kwa siku hizi imerahisisha sana mambo, badala ya mtu kutafuta kuongea au kuhojiwa kwenye Radio, TV au Gazeti ndio asikike, anamaliza kiu…
Mawakala wa BVR wagoma, idadi ya waliomdhamini Lowassa na Vigogo wa CCM waanguka…#StoriKubwa Agosti 2
MWANANCHI Mawakala wanaoandikisha vitambulisho vya wapigakura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voter Registration (BVR), katika Kituo cha Shule ya Msingi Umoja, wamegoma kuendelea na uandikishaji kwa madai ya kutolipwa posho.…
Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania Agosti 2 2015 ziko hapa,Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumamosi Agosti 2, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya…
PSG vs Olympique Lyonnais kwenye Super Cup 2015 ilikuwa hivi (Pichaz+Video)
Wiki moja kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu mbalimbali barani Ulaya kila Nchi huwa na utaratibu wa kucheza mchezo wa Hisani, Ufaransa na Ujerumani huwa wanaita Super Cup lakini kwa…
Matokeo ya Fainali ya Super Cup yapo hapa Bayern vs Wolfsburg (Pichaz & videoz)
Kuelekea kuanza kwa Ligi Kuu Ujerumani Bundesliga August 1 imepigwa mechi ya Fainali ya Super Cup, mchezo huo ulizikutanisha timu za FC Bayern Munchen dhidi ya klabu ya Wolfsburg katika…
Kinachompa jeuri Mourinho dhidi ya Wenger kipo hapa
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho ameingia tena kwenye headlines kwa kauli zake anazozitoa kuelekea mchezo wa Ngao ya Hisani, Chelsea itakutana na Arsenal August 2 saa 11 jioni kwenye uwanja…
Mchungaji Mtikila hajachelewesha, kachukua fomu ya Urais leo na kuyasema haya kwenye hii video
Maalum kwa ajili ya Mchungaji Christopher Mtikila ambaye na yeye anagombea Urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2015 kupitia chama cha DP ambapo leo alikwenda kuchukua fomu…
Kutana na mgombea Urais 2015 kutoka chama cha TLP na alichosema kwenye hii video
Ni mwaka 2015 na headlines zake za uchaguzi mkuu Tanzania ambapo leo baadhi ya wagombea Urais wamefika kwenye ofisi ya tume ya taifa ya uchaguzi Dar es salaam kuchukua fomu…