Hili ni ombi la Mama Mangwea kwenda kwa Maproducer wote.
Albert Mangwea ni miongoni mwa wasanii wanaoaminika kuwa na nyimbo nyingi sana ambazo bado hazijatoka,wakati wa kumbukumbu ya kifo cha Mangwea Morogoro iliyofanyika November 2013 Millardayo.com iliongea na familia yake…
Umesikia kuhusu Mavoko kukimbia na mashuka ya hotel?sikiliza hapa
Week end iliyopita Mavoko na Shettah walienda kufanya show Mtwara miongoni mwa vitu vilivyotokea kwenye hotel waliyolala ni kuhusu kuondoka na mashuka ya hiyo hotel taarifa hizi anazi-amplify Soud Brown…
Sikiliza Hekaheka ya leo February 14.
Kupitia Hekaheka za leo February 14 utamsikiliza Dokta wa yule mtoto aliyebakwa,pia utasikiliza kilichomtokea yule Housegirl aliyetoroka kwa muajiri wake,sikiliza kupitia 88.5 Clouds Fm Morogoro. Bonyeza play kusikiliza.
Jiandae kupokea zawadi ya Valentine kutoka kwa Albert Mangwea.
Pengine unaweza kushtuka kusikia kuna wimbo mpya wa Mangwea unaachiwa leo February 14,hupaswi kushtuka kwa hili maana kama utakua na kumbukumbu nzuri mwaka jana Albert Mangwea alitangaza kutoa wimbo mpya…
Sikiliza hapa Penzi la Quick Rocker leo February 14.
February 14 inazidi kupata baraka kwa baadhi ya wasanii kuachia nyimbo zao,mmoja wapo ni huyu kutoka 87.8 Mbeya City Quick Rocker humu kashirikishwa Ben Pol ambaye leo anaachia wimbo wake…
Kuelekea valentine’s day, inabidi uyafate ya hili gari
Yani chukulia hili gari kama usafiri wako katika kuendesha mahusiano yako na yule mweza umpendae ambapo ndani ya gari kuna familia yako yote na wewe ndie dereva, njia utakayochagua kulipitisha…
Video ya ‘man of the year’ ya Schoolboy Q, nyingine inayotawala TV
Imekua moja ya video mpya zinazopata nafasi ya kuchezwa sana kwenye zaidi ya TV Stations tatu za kimataifa ambazo zinaonekana sana Afrika. Mpaka sasa imeshatazamwa zaidi ya mara milioni tatu…
Wakenya wanakuja na hii ya Ikulu sasa hivi. (Trailer)
Naambiwa hii itakua ni kwa mara ya kwanza kwenye historia ya Uigizaji nchini Kenya kwani hii ni series ya kwanza ambayo itaanza kuonyeshwa on Zuku TV ikiwa imeigiza vitu vinavyohusiana…
Valentine’s day yangu leo ni hapa mtu wangu
Kwenye time hii ambayo Watanzania wameanza kupenda na kuuelewa muziki anaofanya Damian Soul ambae ukali wake mwingine upo kwenye kuimba LIVE on stage, naimani hii ndio itakua sehemu yangu nyingine…
#AyoTV: majibu ya Jokate kuhusu ishu yake na Wema Sepetu.
Hii ni Exclusive interview ya AyoTV na Jokate ambae kwenye media nyingine alizungumza kwa kifupi tu kuhusu yeye na Wema Sepetu kupatana na kushiriki pamoja kwenye show aliyoiandaa Wema Arusha.…