Askofu Gwajima ameyajibu haya>>> Rushwa kwa Maaskofu, uongo, Dk. Slaa, mke na watoto.. Lowassa na mengine..
Siku chache baada ya aliyekuwa Kiongozi wa Chama cha CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa kutangaza kwamba ameamua kuachana na Siasa, hiyo ilikuwa siku kadhaa baada ya Dk. Slaa kutoonekana kwenye Mikutano…
Pichaz 29 ya kinachoonekana katika ukarabati ndani ya uwanja wa Uhuru…
Uwanja wa taifa wa zamani ambao kwa sasa unajulikana kama uwanja wa Uhuru au shamba la bibi, umefungwa kwa muda mrefu ili kupisha ukarabati wa uwanja huo, kwa muda mrefu…
Nimekusogezea na hizi nyumba 10 kali zilizojengwa ndani ya maji mtu wangu…(Pichaz)
Kati ya vitu ambavyo huwa vinanivutia nia aina ya nyumba na jinsi zilivyojengwa kwa ufundi mkubwa. Leo nimekusogezea hizi nyumba ambazo zimekuwa zikitumiwa na watu bila wasiwasi wowote huku zikiwa…
Ninayo good news kutoka kwa bondia Francis Cheka iko hapa….
Unakumbuka ile ishu ya bondia wa ngumi Francis Cheka ya kumpiga na kumuumiza meneja wa baa yake akimtuhumu kusababisha hasara? Sasa good news ninayotaka kukusogezea ni kwamba bondia huyo wa mchezo wa masumbwi akiwa…
Tume ya uchaguzi imepokea rufaa ngapi kutoka kwa Wabunge na Madiwani?, stori iko hapa..
Tukiwa bado kwenye headlines za Uchaguzi 2015, taarifa kutoka tume ya Uchaguzi NEC imesema imepokea rufaa za wabunge na Madiwani wa Halmashauri. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa huduma za kisheria…
Kuhusu Kipre Bolou, hali ya Shomari Kapombe na Allan Wanga viko hapa kuelekea mechi ya Jumamosi (+Audio)
Wakati shirikisho la soka Tanzania TFF likithibitisha kuanza kwa Ligi Kuu soka Tanzania bara siku ya Jumamosi ya September 12 na kudai mpango wa kuwataka vilabu viwalipie wachezaji wa kigeni…
Kipaji kingine cha mbwa… jamaa akaona amtumie kumshikia wine yake…(Pichaz&Video)
Mbwa ni moja ya wanyama wanaopewa nafasi kubwa ya kuwa karibu na binadamu na mara nyingi kwa nchi za kwetu wamekuwa wakitumika kama walinzi. Lakini kwa wenzetu mbwa amekuwa sehemu…
Taarifa kutoka ofisi ya Takwimu kuhusu mfumuko wa bei wa taifa mwezi Agosti, 2015
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraimu Kwesigabo aliitisha mkutano wa vyombo vya habari leo Sept 8 kutoa taarifa ya…
Haya ni mengine kuhusu Ferrari iliyozawadiwa na Tyga kwa mpenzi wake…
Ferrari ya Kylie Jenner kwenye headlines, baada ya kuzawadiwa gari hilo na mpenzi wake Tyga kwenye birthday yake, gari hilo limeleta fujo na kuweka headlines nyingi sana Marekani. Mitandao haswa blogs…
Ripoti ya TFF kuanza kwa Ligi Kuu, vipi kuhusu dola 2000 kwa wachezaji wa kigeni? vipo hapa..(+Audio)
Bado siku nne Ligi Kuu soka Tanzania bara ianze, vilabu vilikuwa katika harakati za usajili wa wachezaji na mapumziko ya mechi za kimataifa, lakini jumamosi ya September 12 Ligi Kuu Tanzania…