Weekend hii Janet Jackson angependa wimbo huu uwe kwenye playlist yako; ‘Unbreakable’ (Audio).
Baada ya kuachia video ya wimbo wake 'No Sleep' aliomshirikisha J Cole kutoka kwenye album yake mpya 'Unbreakable', Janet Jackson amerudi tena kuziandika headlines zake kwenye kurasa za burudani. Good news…
Rais wa Nigeria kaamua kutangaza mali zake… anahusishwa na ufisadi? Stori ninayo hapa
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ametangaza kuwa ana $150,000 (£100,000) kwenye akaunti zake za benki, katika hatua inayolenga kupiga vita ufisadi katika nchi yake. Kiasi hicho cha fedha kinaonyesha amekuwa…
Hii ndio sababu iliyomfanya Justin Bieber adondoshe machozi kwenye usiku wa MTV VMA’s 2015.
Baada ya kuweka headlines nyingi usiku wa tuzo za MTV VMA's mwaka huu na show iliyoisha kwa machozi, Justin Bieber kaamua kuzungumza sababu zilizompelekea kuangusha machozi akiwa katikati ya show…
Ajali nyingine ya nyumba kuteketea moto Dar imesikika kwenye Hekaheka…(Audio)
Wiki chache zilizopita kulitokea ajali mbaya ya moto iliyoteketeza familia ya watu tisa Dar es salaam. Usiku wa kuamkia leo tukio jingine la moto limetokea eneo la Mwanayamala na kuteketeza…
Wachina na njia mpya za kulipa bili za vyakula…
Najua kuna wale watu wangu wanaopenda kutoka kila weekend kula good time na watu wao huku wakipiga stori mbili tatu.. lakini ikifika wakati wa kulipa watu wanakimbia bili na usipokaa…
Ripoti ya Taifa Stars kuhusu majeruhi, hali za wachezaji ipo hapa…
Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa ameonge na vyombo vya habari kuhusu maendeleo ya timu na hali za wachezaji siku moja kabla ya mechi…
Danny Welbeck afanya Arsene Wenger azidi kulaumiwa….
Kocha wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger ametoa taarifa za mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza na klabu ya Arsenal Danny Welbeck... Wenger alikuwa na matumaini ya kuwa Welbeck atarejea Uwanjani baada ya…
GWAJIMA ashtakiwa,Mwanafunzi na mauaji, LEMA mbaroni,LOWASSA, MAGUFULU,Mke wa SLAA..#StoriKubwa
MTANZANIA Kwa vijana wa mjini, wanaweza kusema kwamba alichofanya Dk. Willibrod Slaa juzi kwa kuachana na siasa na kurusha tuhuma kwa chama chake, ni sawa na kumwaga ugali, na majibu…
Tayari #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 8 ya Tanzania Septemba4, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Mourinho, Ronaldo na Smalling wameingia katika kitabu cha Guinness World Records
Baadhi ya wanamichezo duniani akiwemo Jose Mourinho, Frank Lampard na Cristiano Ronaldo wameingia katika kitabu cha kipya cha Guinness World Records ambacho toleo jipya litatoka Septemba 10, Mastaa hao wamepewa heshima ya…