PICHA & VIDEO: Couple tisa zakushangaza, zilizovunja rekodi duniani.
Ni kazi yangu kukuletea stori mbalimbali ambazo zinatrend duniani mtu wangu na nyingine zitakuwa zakushangaza, mfano ni hii ya Leo August 27 2016 nakusogezea stori ya couple tisa zilizochukua headlines…
Maamuzi ya BMT kuhusu PST katika mchezo wa ngumi na uchaguzi wa Yanga
Kama nimpenda michezo leo kuna mambo mawili unatakiwa kufahamu kutoka katika baraza la michezo la Taifa BMT, Baraza la michezo la Taifa leo May 31 2016 limetangaza rasmi kusimamisha shughuli…
Sababu za Diamond Platnumz kutokuwa na dream ya kuwa chini ya record label yoyote
Perfect Crispin ni mtangazaji wa Clouds FM ambaye hapa anatusogezea stori zilizochukua headlines kutoka kwenye tasnia ya Bongo Fleva, ambapo leo May 31 2016 ametusogezea hizi stori tatu ikiwemo ya Diamond…
Sentensi 3 za Jose Mourinho baada ya kuulizwa kuhusu upinzani wake na Pep Guardiola
Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2016/2017 unatarajiwa utakuwa moja kati ya msimu unaovutia zaidi Uingereza, hiyo inatokana na Jose Mourinho kujiunga na Man United lakini pia Pep Guardiola kujiunga na…
VIDEO: Mbunge Lusinde alivyoongelea Wapinzani kukosoa safari za nje ya nchi za JK na JPM
Bado tunazisogelea headlines za Bungeni Dodoma ambapo leo May 31 2016 Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kikanda na Kimataifa kupitia kwa Waziri wake Augustine Mahiga imeomba…
COMEDY: Joti katuletea ya Mwanamke wa mjini alivyokutana na Mkongo
Inawezekana siku yako haijawa poa sana leo, basi chukua time hii kuirejesha furaha kwa kucheka na vituko vya mchekeshaji Joti ambaye time hii amecheza kama mwanamke aliyekutana na Cha Mkongo…
VIDEO: Mgawanyo wa Bilioni 151 za Wizara ya Mambo ya Nje ulivyosomwa bungeni leo
May 31 2016 Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kikanda na Kimataifa kupitia kwa Waziri wake Augustine Mahiga imeomba kutengewa jumla ya Shilingi 151,396,775,000.00 kama bajeti yake…
AudioMPYA:Time ya kuenjoy hii single ‘HAPO’ kutoka kwa G Nako, Quick Rocka na Jux…
Usiku wa May 28 2016 ndio siku rasmi ambayo wasanii wa Bongfleva G Nako, Quick Rocka na Jux waliamua kufanya uzinduzi wa video ya ngoma yao waliofanya pamoja ‘Hapo’ uzinduzi…
VIDEO: Watanzania waliofungwa mataifa mengine waongezeka, Waziri kataja idadi na nchi zenyewe
Kumekuwa na headlines mbalimbali kuhusu matukio ya kiuharifu yanayokuwa yakijitokeza ndani na nje ya Tanzania, ishu ya uuzaji na utumiaji wa dawa za kulevya umekuwa ikisibabisha vijana wengi pia maisha…
Lionel Messi na baba yake wamefikishwa tena Mahakamani leo May 31 2016
Mchezaji wa kimataifa wa Argentina anayeichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania Lionel Messi na baba yake mzazi Jorge Messi wanatuhumiwa kwa kosa la ukwepaji kodi na leo May 31…